Selfika na JF: Snap it. Show it

Naona kuna watu wanataka niwape radhi, tangu lini Wazee tukawa na hayo mambo?

Sikuwahi kufikiria kama mtafikia hatua ya kuvunjiana adabu namna hii.

Sijapenda ๐Ÿคจ
 
Mjomba weka wasengenyaji walishasema hawaioni ufalme wa Mungu hata huu wa selfika hauwahusu hata km mm nilikusema Mjomba weka tu yaishe kwakweli kupakaziwa kunauma wanaumia na wao
 
Grahams

Nasikia ulisimamia kucha eti nyie jf hapana
Wote tunajua sisi Wazee Jogoo huwika kwa mwaka mara moja tu, sasa hao mabinti mnataka tuwe nao kwa kazi gani?

Mabinti na vigori ni kwaajili ya Vijana tu,

Huo ni mtazamo wetu Sisi Wazee
 
Ili ufanye kweli๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kwenye list yako sipo aiseee, ila nusu ya selfika umooo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚g.o.a.t mwenywe
Daah nina miaka sipo Tz nafanyaje haya mambo, unajua watu wanashindwa kunielewa uwa nafanya utani sana hapa wao wanachukulia serious!๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ
 
Naona kuna watu wanataka niwape radhi, tangu lini Wazee tukawa na hayo mambo?

Sikuwahi kufikiria kama mtafikia hatua ya kuvunjiana adabu namna hii.

Sijapenda ๐Ÿคจ
Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???

Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ