Naona kuna watu wanataka niwape radhi, tangu lini Wazee tukawa na hayo mambo?Afu kuhusu Grahams mbona mi nilishausoma mchezo muda sana ningekua ninaejalii ningeshauliza humu muda mrefu nashukuru hata sijalii as Long as kitu hakinihusu walaaaaa!! Nilishalisikia hilo muda mrefu sana mwenzenyuuuu!
Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii ๐คฃ๐บ๐บ
Ulikua unaniambia hawakujibu PM kumbe ndio unaongoza kusambazia warembo raha๐๐๐Ilibaki kidogo nikuite unisaidie mana unajua nilivyo domo zege PM ๐คฃ
Bro kulikuwa na waziri wa hizo kazi wew ni naibu wake ๐๐๐Vijana wamekosa kazi mkuu๐
Naona kuna watu wanataka kupata radhi kwa kuwazushia Uongo Wazee.
Yaani na miaka 78 yote hii mnataka nifie kitandani?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐! Nasubiria list yakoor vouchaaa ๐๐๐๐๐!!Haniiiii........๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Aisee na wewe upo kwa list yangu?๐คUlikua unaniambia hawakujibu PM kumbe ndio unaongoza kusambazia warembo raha๐๐๐
Mwanafunzi umenishinda tabia
Hahahahaha,dahVijana wamekosa kazi mkuu๐
Mhh napewa vyeo vikubwa bila taarifa, na wewe upo kwa list yangu au?๐Bro kulikuwa na waziri wa hizo kazi wew ni naibu wake ๐๐๐
๐๐๐๐๐Ana balaa huyo,Ana balaa huyooo(in ahmedally voice)๐๐๐
Kwa kweli wamenikosea sana.Na mtako ule utakufa kweli ๐๐
Sikuoni, nakuita hanii huonekani๐๐๐Haniiiii........๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mjomba weka wasengenyaji walishasema hawaioni ufalme wa Mungu hata huu wa selfika hauwahusu hata km mm nilikusema Mjomba weka tu yaishe kwakweli kupakaziwa kunauma wanaumia na waoalafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa.. ๐ ๐ ๐ uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..
Ili ufanye kweli๐๐๐Aisee na wewe upo kwa list yangu?๐ค
๐๐๐Kwa kweli wamenikosea sana.
Hawa wanataka nife kabla sijafaidi Pension zangu, maana ule mzigo kwa picha tu nilikuwa natetemeka, je ikiwa live si kuona tu presha na kisukali vitapanda
Nakaziaalafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa.. ๐ ๐ ๐ uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..
Mji mzito huu๐๐๐๐๐
Tunampa maua yake
Wote tunajua sisi Wazee Jogoo huwika kwa mwaka mara moja tu, sasa hao mabinti mnataka tuwe nao kwa kazi gani?Grahams
Nasikia ulisimamia kucha eti nyie jf hapana
Daah nina miaka sipo Tz nafanyaje haya mambo, unajua watu wanashindwa kunielewa uwa nafanya utani sana hapa wao wanachukulia serious!๐ฎโ๐จIli ufanye kweli๐๐๐
Kwenye list yako sipo aiseee, ila nusu ya selfika umooo๐๐๐๐g.o.a.t mwenywe
Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???Naona kuna watu wanataka niwape radhi, tangu lini Wazee tukawa na hayo mambo?
Sikuwahi kufikiria kama mtafikia hatua ya kuvunjiana adabu namna hii.
Sijapenda ๐คจ