napita nazo hizo.. mie uzuri humu wote watu wangu.. napata maushahidiii mwaaa.. mtu akibisha namuambia hadi lini na mda gani na ni nani ,.. sijui ugomvi na mtu.. ila hapa nasema kweli mtupu.. na kwa kumkera mtu nakibisha namtumia message za demu wake.. ndio ataelewa sitanii
Yaan huyuu alivyo tajwaaa mie roho kwatuuu, na hajatajwaa kwa bahatii mbayaaa, huyu ndo ataeleza yoteee
napita nazo hizo.. mie uzuri humu wote watu wangu.. napata maushahidiii mwaaa.. mtu akibisha namuambia hadi lini na mda gani na ni nani ,.. sijui ugomvi na mtu.. ila hapa nasema kweli mtupu.. na kwa kumkera mtu nakibisha namtumia message za demu wake.. ndio ataelewa sitanii
Huyu dogo ata sema vzr mwenyewe nilimueka pending, kuna pesa nilimtumia akanigeuzia story sema nikampotezea sasa kajileta kwenye 18 za lady gaga nitamuimbisha kesho mpk afurahi na roho yake
uduguuu eti nn??
Ooooh sema kimeumanaaaaa!!!
uduguuu Una motoo mapema hii, tuliaaa kwaniii, mbna badooo yaan kitete usiku mnene hivi? Wee
Naandaa nyuklia hapa kesho mida ya lunch naruka naye
mnaniachache warembo nyie tukale wote basi π π π kalaleni mie natelemsha hapa kesho kufikia usiku virua wawe wameisha.. tue enjo selfika yetu na nita posy vocha za 200,000 za buku tano tanoNalalaa tukutanee keshoo
Zzzzzzzzzzzzzzz
π π π π π mod kesho wana kazi.. sindano huuma mala inapo dungwaYaani kesho kutachafuka hapa
Bahati tu wenye ugomvi wao wamelala muda huu, wakiamka naamini pm charts zitahamia kwenye uzi na uzi utafutwa huu
Kuna watu wanajua ugomvi balaaπ€£
mnaniachache warembo nyie tukale wote basikalaleni mie natelemsha hapa kesho kufikia usiku virua wawe wameisha.. tue enjo selfika yetu na nita posy vocha za 200,000 za buku tano tano
So mkuu mi hapana girlfriend π€ππ National Anthemπ π π π π mod kesho wana kazi.. sindano huuma mala inapo dungwa
mnaniachache warembo nyie tukale wote basikalaleni mie natelemsha hapa kesho kufikia usiku virua wawe wameisha.. tue enjo selfika yetu na nita posy vocha za 200,000 za buku tano tano
Mpaka pesa unatuma mchuchu!!Huyu dogo ata sema vzr mwenyewe nilimueka pending, kuna pesa nilimtumia akanigeuzia story sema nikampotezea sasa kajileta kwenye 18 za lady gaga nitamuimbisha kesho mpk afurahi na roho yake
03.32So mkuu mi hapana girlfriend π€ππ
Kesho nakutumia picha ya hizo message na chart pamoja na picha.. unakataa kuwa Penseli 4 kafanya hayo.. na huyo ndio hata alisema wewe unapigwa na countri, na conutri pia kapida depal.. kesho nakurekodia au nazipiha picja maana siku hizi hazikubali screenshotWewe unazunguka mno emu weka basi wale wenye pic zangu na waliozipeleka kwa Kantri nao nawahitaji niselfike nao mida ya lunch
Cute Wife naomba uniongezee hela nimeishiwa ya bearMpaka pesa unatuma mchuchu!!
najua wewe hutaki, hapa self tunaweka watu wanagombaniaa π π weye mzito ebu niongezee ya chupa 10 za safari lagerMe vocha sitaki bro nataka kuwajua wachawi wangu tyuuuu