Mwachiluwi my bro kesho nakukaanga km korosho za kwenu yani fanya uwahi uje unipe maelezo ya kueleweka, huwezi ukakaa unanisnitch kwa maneno ya uongo
Wewe wa kwanza
napita nazo hizo.. mie uzuri humu wote watu wangu.. napata maushahidiii mwaaa.. mtu akibisha namuambia hadi lini na mda gani na ni nani ,π π π .. sijui ugomvi na mtu.. ila hapa nasema kweli mtupu.. na kwa kumkera mtu nakibisha namtumia message za demu wake.. ndio ataelewa sitanii π€£π€£π€£
Mwachiluwi my bro kesho nakukaanga na km korosho za kwenu yani fanya uwahi uje unipe maelezo ya kueleweka, huwezi ukakaa unanisnitch kwa maneno ya uongo
Wewe wa kwanza