Selfika na JF: Snap it. Show it

Nibless uduguuuu,
 
Inni yupo kweli? Anaendeleaje msalimie Sana.

Nilimlisha block mapema Sana hata kabla hajasanukiwa

Alijaribu Sana virungu
Oyaa mi changu huwa kinachukuliwa gheto kabisa.

Sasa hivi kazi yangu Ni kudaka machozi ya cute wife tu
 
Inni yupo kweli? Anaendeleaje msalimie Sana.

Nilimlisha block mapema Sana hata kabla hajasanukiwa

Alijaribu Sana virungu
Oyaa mi changu huwa kinachukuliwa gheto kabisa.

Sasa hivi kazi yangu Ni kudaka machozi ya cute wife tu
nimechekaa hadiii baas, wee kwann lakini? Hebu mtafutee mamsap ako bhanaa.
JF Woyeeeeee, visanga na manjegekaa kwa sanaa.
 
Hela nyingine za mtaani sio nzuri, watu wame fanya Mambo yaoπŸ˜πŸ˜‚.
πŸ‘‰Uki kopa una Anza kutoka kwenye RamanπŸ˜‚πŸ˜
Yaani ni kweli biashara ilikuwa njema ila nilipo kopa niongeze balaa lilianzia hapo eti wateja nawatafuta kwa tochi πŸ™†πŸΎβ€β™€οΈπŸ™†πŸΎβ€β™€οΈ
 
nimechekaa hadiii baas, wee kwann lakini? Hebu mtafutee mamsap ako bhanaa.
JF Woyeeeeee, visanga na manjegekaa kwa sanaa.
Sasa hivi Ni mwendo wa video call tu. Na jf Mimi sijawahi pigwa na sitakuja kupigwaa.

Yule bizzzop mombasa sijui yule wa dom fala yule ndo alikulaga almost 50k afu nikaja shutuka baadae
 
Yaani ni kweli biashara ilikuwa njema ila nilipo kopa niongeze balaa lilianzia hapo eti wateja nawatafuta kwa tochi πŸ™†πŸΎβ€β™€οΈπŸ™†πŸΎβ€β™€οΈ
Kuna kipindi nili chukua ... Kwa Jamaa yangu fulani, ili nipush jambo fulani.
πŸ‘‰duhh tuli poteza asilimia kubwa ya kitu tulicho kuwa tuna fanya, ndo nikaja ambiwa baadhi ya watu hela said sio POAπŸ˜πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…