Unazijua tangawizi?
Kwakweli.Itakuwa sizijui
Akili nyingi sana kama mimi baba paroko





wallah hata mie nikimuangaliaga huyo mbwa kuna mtu huwa ananijia kichwani,, Mungu anisamehe mimi..
Hiyo picha sijui nani anakuja kwa taswira yanguu
OkayLooking forward to
Pizza umejaza sana vitu juu yake itaiva kweli best.
Nimekupa sifa kwa lugha ya tekelinalokujia 'tekinolojia'
Ndio umenitusi?
Aimennn baba parokoAkili nyingi sana kama mimi baba paroko
wallah hata mie nikimuangaliaga huyo mbwa kuna mtu huwa ananijia kichwani,, Mungu anisamehe mimi..










Mwe mwe mweeeeeh!Nimekupa sifa kwa lugha ya tekelinalokujia 'tekinolojia'




Huogopi ambiwa #Unikomekhaa nimefanyaje mimi kwani
Si umtaje tu?
Tatizo mimi huwa sijuagi ni nanii
Picha gani mpendwa?
Uwe unaanza kumwamkia shikamoo, atakulegezea