Dah nime vuta bhangi yangu,alafu mtu ana kukata stimuπ.
πNgoja nika fanye recycle ya majani, kuwa dawaππ
π Nuzulati, National Anthem, mshamba_hachekwi πππ
Sio kusutana mkuu tunaambizana ukweli kuna good way ya kuongea na mtu akaelewa lakini unapoona njia iliotumiwa sio sawa kuna muda unatakiwa kuongea au kuwa serious na kuweka joking pembeni