Hakuna anayetafuta kiki hapa sawa? Afu acha shobo wangapi humu wanaambiwa mambo ya kutoka na watu?? Hujaona wakina Nuzulat, Aaliyah na Anne wakilalamika kuhusu hizi issue za kuchafuana?? Hao wote wanatafuta kiki??
Kuna muda ukinyamaza kwa vitu visivyokuhusu ni bora zaidi? Au wewe watu wakizushiwa habari za uongo unafurahi?? Mxxiewwww
Sasa hiyo sio njia ya kurekebishana kwa wanaume unakuja kunipondea mbele za mademu ili? Nichane kiume ila kama ulivyo sema kutaka kuwapa watu faida wape iyo faida huwenda watamiliki ata kiwanja goba cha mkopo