Selfika na JF: Snap it. Show it

***** jf
Vidume live vikisutana dah
Sio kusutana mkuu tunaambizana ukweli kuna good way ya kuongea na mtu akaelewa lakini unapoona njia iliotumiwa sio sawa kuna muda unatakiwa kuongea au kuwa serious na kuweka joking pembeni
 
Na nipo sana mpk wenye uchungu wazae, wengine ni watu wazima ilifaa waitwe babu ila ukiwaona humu wanachofanya ni aibu!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweli.
 
Yaan konki iyo ukikopa hata umbea hukumbuki [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu nijuze vyedii nikakopeee, huenda umbea na ufukunyukuu nikaacha mazimaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu nijuze vyedii nikakopeee, huenda umbea na ufukunyukuu nikaacha mazimaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iyo ukikopa marejesho Kila siku km ni elf kumi ni daily my wangu ukiamka winja winja kutafuta afu kumi ya watu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweli.

Wanaume wazima matako makubwa na vitambi juu lakini wanavyopenda kujishaua sasa??!!!!

Kumbe kuna ingizo jipya la mashoga wenye vitambi mabonge afu husemi uduguuu pyeeeeee!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Iyo ukikopa marejesho Kila siku km ni elf kumi ni daily my wangu ukiamka winja winja kutafuta afu kumi ya watu [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikakopeee mil 5, umbeaa na ufukunyukuuu baaaaass,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…