Wanapenda zile hekaheka itakuwa, kuna mmoja juzi kavumilia kashindwa kaamua kusema, “Hiyo amani mliyonayo mashabiki hatupendi, sio km hatuwaoni ni vile tunajificha kwenye kona tunawacheck” Aiseee nilicheka
Acha wivu kama huna wakupiga naye story wewe nenda tu ukaselfike mwenyewe hadi ulale mwone kila saa unalike tu story za wenzako , siumwite upendaye na mashem mchart
tatizo mnaweza jikuta mko kuanzia wawili! Maana wa bebe wenyewe wa jf wachache na kwa siku anaweza kula mitongozo hata kumi uko pm toka kwa njemba tofauti tofauti