National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
π π π basi na mie sitakiHapan kwa kampani ya kuchart na umbeya aisee nipo tutampata wako tu soon
Nimeshaselfika huko juu na nimekutagKwan unaogopa?? We selfika hapa tukuone boss wa vocha unayesumbua selfika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakwambia simfahamu mtu humu ila wao wananifahamu mpaka figo zangu π€·πΌββοΈDah Hadi wewe kigoriiπ€£π
nakuja mama tupige story
Pole chief ndizo habari za mjiniπ€£π€£π€£Unanionea kabisa cheaf
Siwezi kabisa angaika na mtu JF.. mizigo ya kumwaga kitaa why nije ku bet humu.. izo sio akili aisee π πtatizo mnaweza jikuta mko kuanzia wawili! Maana wa bebe wenyewe wa jf wachache na kwa siku anaweza kula mitongozo hata kumi uko pm toka kwa njemba tofauti tofauti
Jamani kipenzi usiwe hivyo babaπ π π basi na mie sitaki
ππππMimi yalisha nikuta kuna member tulizoeana kweli matani sana na vikopa jukwaani kumbe ilikuwa kosa bila kujua hata hatukuwa tunatakana akaanza kupelekewa faili langu eti wananijua ni Single mama ninayetafuta huruma ππ
Wachaa umeongea aisee hadi basiSiwezi kabisa angaika na mtu JF.. mizigo ya kumwaga kitaa why nije ku bet humu.. izo sio akili aisee π π
Ile message ya muamala wa jezi kumbe imekereketa watu
Ingekuwa tunadate ningeianika hapa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie
Msije sababisha watu tukakosa msaada humu.
Mjep amekuwa ndugu yangu
Siyo jezi tu!tangu kipindi Nimepata msiba wa baba yangu alinisapoti sana.
Bado ananisapoti mno, siwezi kuhesabu.
Mjep usiwasikilize matajiri hao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jezi ninayo sina?
Snap it[emoji419][emoji375][emoji817]View attachment 2723302
ππππππͺπ€§Jamani kipenzi usiwe hivyo baba
Usichoke kusoma pm zangu na kuzifanyia kazi mkuu.Jambo gani Tena ghafla hivoπ
Mmbaki salama acha nipambanie kombeWachaa umeongea aisee hadi basi
πππππππ
Mm sitaki kusikiaga habar zangu wewe kama mtu kakuambia kitu kuhusu mimi kaa nacho uko uko usiniambie kabisa mkuu afya yangu muhimu sana kuliko hao waganga njaa mkuu π₯±Pole chief ndizo habari za mjiniπ€£π€£π€£
Mimi siogopi mtu ila naheshimu mtu atakama yeye akinidharau mimi nitamuheshimu ila akivuka sana mipaka yangu ambayo nimeiweka lazima nimuonye in good way