Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta

Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… vijana wadogo mna date nao.. mkitongozwa na sie wazee.. mnatufungia PM.. pambaneni na vijana wenu
 
Hamna namna chief
Tutafanyaje sasa

Uzi umekua kijiwe cha umbeya ma legend wote wamekimbia aisee
 
Ase muwe mnapotezea maneno ya humu wengine tuna yasikia tuna yaacha be patient show happy siku zote ndio silaa kubwa ya adui akusemea anataka kuona ukiumia na ukija mjibu hapa anasema yah kaumia kama nilivyotaka ila usipo jibu anaumia yeye take it ni ushauri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…