Selfika na JF: Snap it. Show it

Au wanataka muachane
Kamati ya roho mbaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Uzuri wanaume Wanajitambua na ni waelewa

Wangekuwa wa kukazwa upepo na kusikiliza maneno,aisee
Mahusiano yasingedumu..kuna vichaa humu[emoji1787]

Hata tukiachana ndo watampata sasa??? Kwa Kantri wanajichosha tyuuuu!!!
Yupo mbele ya muda yule [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Hivi hujasikia kuwa Mr Vocha anatoka na St Anne kamnunulia hadi jezi!
Ni balaa na nusu mdogo wangu
HeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tena?


Hii ya lini?🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Kwani nimewakataza kushabikia Liverpool?πŸ˜‚
Akiyanani next week nadhani nitaenda kuinunua.

Ntaitupia humu wanaokereketwa nasema na bado🀣🀣🀣🀣
 
Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta

Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia
tulia wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…