Selfika na JF: Snap it. Show it

Tengeneza cake utasutwa

Hivi yule aliyekuzushia na akaleta pic zako akasema mlikuwa na member wa humu ni nani??


Yaani naona napitwa na mambo sana humu.
Hadi sasa sielewi.



Unadhani hata naelewa basi

Sijui hata ni akina nani,
Mimi nililetewa hizo habari na dada wa watu HS,kuwa wametusema mimi na yeye eti tumetoka na National Anthem


Nikawa nashangaa hapo
.
Mama wachungaji tukawa tumefikiwa..
Kuna watu moto wao utakuwa VIP aisee
Tumemkabidhi Mungu tu,
Uwezo wa kuchamba hatuna.
 
Halafu siku ile nilikuwa nataka nichangamshe uzi wa selfika ila wewe na amini hii kitu ni kweli maana toka jana ni bora ukapotezea best

Uongo

Me kimeniuma pic zangu tyuu hayo mengine wala siyahitaji kivile hayana umuhimu

Unajua mtu mwenye akili zake timamu hawez kubeba pic ya mtu na kuikimbiza kwa mtu ambaye ahusiani naye, huo ni UCHOKO afu anapeleka na vimaneno ili iweje??
 
We humu watu ni wakuda kichenzi halafu sijui niseme ni ukosefu wa kazi 😬
 
Watu mna siri humu😁😁😁
😬😬😬 siri au unajisi tu.. humu hakuna siri ila kuna utoto mwingi sana... sijui kazi hakuna au sielewi.. alafu ajabu kuna mtu akiona una chart na mtu anakununia sasa nabaki nachekaaa kuna vitu vinaendelea unabaki unashangaa.. sema nini hiki kijiwe cha umbea
 

Pole ungewakemea ni mapepo hayo
 
wangejuaga.. mie hata kifanyio sina..

wakati wanatahili wakakikata chote.. hapa napiga tu makelele masaa yaende.. ila watu kumbe wanaona nipo serious πŸ˜…πŸ˜…
 
Nashukuru Mungu Ni Mwema.

Nimefurahi Pia Kukuona Naimani Unaendelea Vyema.

Yeah Kitambo Ila Tupo Pamoja Naona Uzi Wako Pendwa Umewaka Moto Ndani.

Ulikuwa wapi Mkuu?
Hebu nisalimie na selfie yako hapa ya kichwa kichafu.


Huu uzi kawaida sana.
Hizi mbona Cha mtoto

Enzi hizo ndio kulikuwa na vichambo vya kufa mtu
Uzi ukichafuka hadi tunahofu mods wasije ufunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…