Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,259
- 96,210
We mtu mkubwa aise🤒😍, oyaa niko njeee 🤒Don wa nini 🤣🤣🤣
We mtu mkubwa aise🤒😍, oyaa niko njeee 🤒Don wa nini 🤣🤣🤣
hahahaha! mapema sana mbona..Ok,
Jackies namtegea mama ako mdg
AaaghSamahani mkuu, hauchoki kwenda viwanja kila siku???
👉 Sorry Kama naku ingilia privacy yako, coz I just wanna learn.
👉How you big guys are playing the economic game🤒
Ngoja niuze tumbaku😁😂Studio pale 😂 karibia na mwanamboka
😅😅😅 sasa hivi napotea hapaaa ubaki na wenzakoWe mtu mkubwa aise🤒😍, oyaa niko njeee 🤒
Uje uzee uku pia kuna sokoNgoja niuze tumbaku😁😂
Nini Tena mkuu🤔Aaagh
Oyaa ko Ume nipiga za Kichwa🤔🤒😅😅😅 sasa hivi napotea hapaaa ubaki na wenzako
Huko Wana taka heka kuanzia 10 mzee😂😁Uje uzee uku pia kuna soko
Naona una taka kutengeneza Vita ya 2, ujamaa vs ubepari.
Coz National Anthem ni Don, Mimi ni jobless
.
So haziwezi ivaaa
, lazima mmoja asepe
![]()






siku hizi mademu wanazidi uzuri sana, au macho yangu tu.. ya bange 😅😅Tuendelee kulewa
Hahahahasiku hizi mademu wanazidi uzuri sana, au macho yangu tu.. ya bange 😅😅
Kesho nalalsHuko Wana taka heka kuanzia 10 mzee😂😁
Wapo wanaojielewa mbona,huwa sielewi humu.. ila pa kiwaki sana..
😅😅😅😅 yani ni shida mtaalamu
Acha uoga😁😂, twende golden fork😁Kesho nalals
wachache sana.. ila wengi waswahili sana...Wapo wanaojielewa mbona,