Dada ilo tako utawaua watu mtu ukijiangalia upo kama msonobali alafu wee tako kama lote wajikubali tu kama Mimi Sina mbele Wala nyuma 😀😀wataacha makasiriko
Dada ilo tako utawaua watu mtu ukijiangalia upo kama msonobali alafu wee tako kama lote wajikubali tu kama Mimi Sina mbele Wala nyuma 😀😀wataacha makasiriko
Dada ilo tako utawaua watu mtu ukijiangalia upo kama msonobali alafu wee tako kama lote wajikubali tu kama Mimi Sina mbele Wala nyuma 😀😀wataacha makasiriko
Unakumbuka siku ile mpk nikamkataza asiwachane?? Ni huu ujinga wao kila mara piem cute kafanya hivi, cute kafanya vile mpk tukaifunga piem yake
Leo sasa pic ya kwanza nashangaa natafutwa kwann umeselfika na nilikukataza khaaaaaa!!!
Ss Antonia akasema sijaona nimtumie nikatuma chap nikafuta, dk 10 hazijafika naonyeshwa screenshot yangu naambiwa tena kazi yako hiyo!!! Na muda huo Kantri alikuwa busy anaangalia mpira wa Man hata hajaingia, sasa najiuliza huyo mwana mtoka pabaya aliyejambwa na mamaake yalimsibu yapi??
Km anamtaka Kantri si atume pic yake atoe maelezo aeleweke!!!! Mimi Kantri alinipenda mwenyewe kabla hata hajanijua nafananaje mwenzao!!! Na alivyoniona ndo katua haelewi lolote wanajichosha tyuuuu