Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaogopa maneno Madam?
Hata usipochangia mbona utasemwa tu

Maneno yanakutisha?

Binafsi ntaacha kuchangia nikiamua mwenyewe ila si kwa sababu ya maneno ya wapumbavu wachache.
Nishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu,
 
Wanatafuta kiki kupitia majinaaa ya watruuuuuu!!

Watu na majina yetruuuuuu buanaaaa😛😛😛😂😂😂😂😁🕺🕺💪💪🤭!
Kiukweli nyotraaa mafusho ni ya kuchuma tu waingie maporini huko 😀😀😀
 
Dah! Nimekwazika kweli leo shem
Wanatuma pic imemdindisha babe wangu na mwenyewe niko mbali wanamtakia nini?? Wakampe sasa mfyuuu zao
Duh......
Kweli umekwazika sana
Wamechafua hali ya hewa ndo binadam hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…