Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 26,047 Reaction score 137,257 Aug 19, 2023 #367,261 Saint Anne said: Unaogopa maneno Madam? Hata usipochangia mbona utasemwa tu Maneno yanakutisha? Binafsi ntaacha kuchangia nikiamua mwenyewe ila si kwa sababu ya maneno ya wapumbavu wachache. Click to expand... Nishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu,
Saint Anne said: Unaogopa maneno Madam? Hata usipochangia mbona utasemwa tu Maneno yanakutisha? Binafsi ntaacha kuchangia nikiamua mwenyewe ila si kwa sababu ya maneno ya wapumbavu wachache. Click to expand... Nishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu,
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,154 Reaction score 36,361 Aug 19, 2023 #367,262 Mjep said: Shem, basi inatosha mama Samehe tu Click to expand... Dah! Nimekwazika kweli leo shem Wanatuma pic imemdindisha babe wangu na mwenyewe niko mbali wanamtakia nini?? Wakampe sasa mfyuuu zao
Mjep said: Shem, basi inatosha mama Samehe tu Click to expand... Dah! Nimekwazika kweli leo shem Wanatuma pic imemdindisha babe wangu na mwenyewe niko mbali wanamtakia nini?? Wakampe sasa mfyuuu zao
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,431 Reaction score 96,808 Aug 19, 2023 #367,263 Cute Wife said: Nakuitia bichwa ss hivi oohooo!! Click to expand... Ila bichwa si alisema ana mtaka kantri🤣😂, au ndo kaituma🤣😂😂. 👉Bichwa ana kupindua kwa kantri😂
Cute Wife said: Nakuitia bichwa ss hivi oohooo!! Click to expand... Ila bichwa si alisema ana mtaka kantri🤣😂, au ndo kaituma🤣😂😂. 👉Bichwa ana kupindua kwa kantri😂
financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 18,141 Reaction score 43,366 Aug 19, 2023 #367,264 Cute Wife said: Sorry dear, temper ilikuwa juu hata sijasoma vzr Click to expand... Usijali cute
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,154 Reaction score 36,361 Aug 19, 2023 #367,265 Intelligent businessman said: Ila bichwa si alisema ana mtaka kantri, au ndo kaituma. Bichwa ana kupindua kwa kantri Click to expand... Anakutaka wewe bonge mwenye mata co makubwa etiii
Intelligent businessman said: Ila bichwa si alisema ana mtaka kantri, au ndo kaituma. Bichwa ana kupindua kwa kantri Click to expand... Anakutaka wewe bonge mwenye mata co makubwa etiii
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Aug 19, 2023 #367,266 Antonnia said: Sote tunaelekea vyedi mnywanii Nimefurahi sana kukuona selfikaa ! Click to expand... Karibu Sana tupunge upepo Antonnia cc Bantu Lady
Antonnia said: Sote tunaelekea vyedi mnywanii Nimefurahi sana kukuona selfikaa ! Click to expand... Karibu Sana tupunge upepo Antonnia cc Bantu Lady
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,994 Reaction score 48,500 Aug 19, 2023 #367,267 Antonnia said: Wanatafuta kiki kupitia majinaaa ya watruuuuuu!! Watu na majina yetruuuuuu buanaaaa😛😛😛😂😂😂😂😁🕺🕺💪💪🤭! Click to expand... Kiukweli nyotraaa mafusho ni ya kuchuma tu waingie maporini huko 😀😀😀
Antonnia said: Wanatafuta kiki kupitia majinaaa ya watruuuuuu!! Watu na majina yetruuuuuu buanaaaa😛😛😛😂😂😂😂😁🕺🕺💪💪🤭! Click to expand... Kiukweli nyotraaa mafusho ni ya kuchuma tu waingie maporini huko 😀😀😀
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,431 Reaction score 96,808 Aug 19, 2023 #367,268 Mbona Mimi naitwa bonge nyanya, sijui bonge matikiti 😁. 👉Ila SI lalamiki😂🤣🤣😁
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,880 Aug 19, 2023 #367,269 Cute Wife said: Dah! Nimekwazika kweli leo shem Wanatuma pic imemdindisha babe wangu na mwenyewe niko mbali wanamtakia nini?? Wakampe sasa mfyuuu zao Click to expand... Duh...... Kweli umekwazika sana Wamechafua hali ya hewa ndo binadam hao
Cute Wife said: Dah! Nimekwazika kweli leo shem Wanatuma pic imemdindisha babe wangu na mwenyewe niko mbali wanamtakia nini?? Wakampe sasa mfyuuu zao Click to expand... Duh...... Kweli umekwazika sana Wamechafua hali ya hewa ndo binadam hao
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,994 Reaction score 48,500 Aug 19, 2023 #367,270 Kapachino said: hahahaha! Wewe Tena salio litasoma tu uko usijali. Click to expand... Nakukubali 😀😀
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,009 Reaction score 177,315 Aug 19, 2023 #367,271 Mjep said: Boss lady usichocheee moto aisee Click to expand... Sichochei mr vouchaaaa kama umependana na mtu komaeni na Jambo lenu sio kujadili watruuuuu wasiowahuu ili muonekane wasafii😏😏😏🤣🤣🤣🤣!
Mjep said: Boss lady usichocheee moto aisee Click to expand... Sichochei mr vouchaaaa kama umependana na mtu komaeni na Jambo lenu sio kujadili watruuuuu wasiowahuu ili muonekane wasafii😏😏😏🤣🤣🤣🤣!
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,154 Reaction score 36,361 Aug 19, 2023 #367,272 Saint Anne said: Dah Sura la songesha Click to expand... na macho yao ya NIPIGE TAFU
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 19, 2023 #367,273 Mjep said: Mdogo wangu Hongera kwa ushindi Hivi ulimpeleka wapi mama mchungaji Heaven Sent Heaven Sent Mrudishe tafadhali Na huyu je Wigelekelo? Click to expand... Baada ya kushinda wadau wakageuza kibao kwamba tuna timu nzuri 😂
Mjep said: Mdogo wangu Hongera kwa ushindi Hivi ulimpeleka wapi mama mchungaji Heaven Sent Heaven Sent Mrudishe tafadhali Na huyu je Wigelekelo? Click to expand... Baada ya kushinda wadau wakageuza kibao kwamba tuna timu nzuri 😂
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,092 Aug 19, 2023 #367,274 Intelligent businessman said: 🤣😂😂😂, Kumbe una kasirikaa ehhh. 👉Ume sahau ya bichwaa konwe🤣😂😂 Click to expand... Unaweza ukaandika kitu ki utani ukashangaa mhusika anachukulia serious usigombanishe😬
Intelligent businessman said: 🤣😂😂😂, Kumbe una kasirikaa ehhh. 👉Ume sahau ya bichwaa konwe🤣😂😂 Click to expand... Unaweza ukaandika kitu ki utani ukashangaa mhusika anachukulia serious usigombanishe😬
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Aug 19, 2023 #367,275 Aaliyyah said: Nakukubali 😀😀 Click to expand... endelea kupanga ma file mezani hope langu halijakufikia mkuu
Aaliyyah said: Nakukubali 😀😀 Click to expand... endelea kupanga ma file mezani hope langu halijakufikia mkuu
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,009 Reaction score 177,315 Aug 19, 2023 #367,276 Unamsema mtu afu anapelekewa kama yalivoooo hadi ya kuhusu Ndugu zako dadeqqqq !! Na majina yotree ya viherehere walipmfata pm anatajiiwaaa👌👌👌
Unamsema mtu afu anapelekewa kama yalivoooo hadi ya kuhusu Ndugu zako dadeqqqq !! Na majina yotree ya viherehere walipmfata pm anatajiiwaaa👌👌👌
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,154 Reaction score 36,361 Aug 19, 2023 #367,277 Kapachino said: Nakusalimu mwali! Click to expand... Leo siko vzr kabisa aiseee!! Nia yao nisiselfike ili wabaki wao wa endelee kutisha watu na rangi zao kiboko
Kapachino said: Nakusalimu mwali! Click to expand... Leo siko vzr kabisa aiseee!! Nia yao nisiselfike ili wabaki wao wa endelee kutisha watu na rangi zao kiboko
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 19, 2023 #367,278 Cute Wife said: na macho yao ya NIPIGE TAFU Click to expand... Masikio yao itakuwa mpawa tupu🤣🤣🤣🤣 Akiyanani watu mna vichambo vya jumla jumla🤣🤣🤣🤣 Yule mzungu ponea yake ni kiswahili hajui Vichambo vya kizungu havinogi
Cute Wife said: na macho yao ya NIPIGE TAFU Click to expand... Masikio yao itakuwa mpawa tupu🤣🤣🤣🤣 Akiyanani watu mna vichambo vya jumla jumla🤣🤣🤣🤣 Yule mzungu ponea yake ni kiswahili hajui Vichambo vya kizungu havinogi
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,880 Aug 19, 2023 #367,279 Saint Anne said: Baada ya kushinda wadau wakageuza kibao kwamba tuna timu nzuri 😂 Click to expand... Timu inazidi kuimarika Umemuona huyo dogo mjapan wataru endo Ni balaa jingine Ngoja tumpe muda
Saint Anne said: Baada ya kushinda wadau wakageuza kibao kwamba tuna timu nzuri 😂 Click to expand... Timu inazidi kuimarika Umemuona huyo dogo mjapan wataru endo Ni balaa jingine Ngoja tumpe muda
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,994 Reaction score 48,500 Aug 19, 2023 #367,280 mawardat said: Nishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu, Click to expand... Ni wa kuwasamehe kusemwa hatuogopi tangu hatijazaliwa tunasemwa ila hii ya kumfata mtu humjui kumwambia habari za mtu ambae humjui pia ni uchawi au ni Nini
mawardat said: Nishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu, Click to expand... Ni wa kuwasamehe kusemwa hatuogopi tangu hatijazaliwa tunasemwa ila hii ya kumfata mtu humjui kumwambia habari za mtu ambae humjui pia ni uchawi au ni Nini