Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,883
- 67,334
😂😂😂 nitamsomeshaMuache asome
😂😂😂 nitamsomeshaMuache asome
Msomeshe Unique Flower kwanza😂😂😂 nitamsomesha
😂😂😂😂 uyo jukumu lako mzeeMsomeshe Unique Flower kwanza
Hajatuma bahili huyu
Hongeraaaa.....ila mie sitaki vocha ninazo za kutoshaaaaHujaongea vizuri na tajiri wewe, mbona me huku zimefika km zoteeeeeeee!!! [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Msomeshe Unique Flower kwanza
Siku hizi hakuna mahaba yeeh!
Mashaba,
Mapenzi ya mkataba mpaka kufa yamekwisha,
Ni neema tuna hema mapenzi yanachosha yanafuja raha,
Nafsi yangu inasema bora nimpende tu alonizaa,
Uchungu wa kulia daily,
Mapenzi yalinifanya nisile,
Sina kumbukumbu hile kwamba ulinikosha noo,
Uchungu wa kulia daily,
Mapenzi yalinifanya nisile,
Sina kumbukumbu hile kwamba ulinikosha noo,
Mwanzako mi nilikufa nikazikwa nikaoza,
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka yeeh!
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza,
Mapenzi yalinitesa nimefufuka yeeh!,[emoji445]
_
_[emoji445]
Natamani kuwa single hila nina upwil unanikaba kooh__________[emoji445]
Dj[emoji344]View attachment 2720961
Hongeraaaa.....ila mie sitaki vocha ninazo za kutoshaaaa
Silewi shogaangu najiandaa na j3Mpe namba ya wakala akuwekee pesa ya kulewa bas ila ukumbuke j3 tuna jambo letu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
No time for totoz, iam just aiming on my .....No malice to totoz
Mimi hayanitesi, yamenifit mbona[emoji23]Jinyonge shogare kwann mapenzi yakutese [emoji23][emoji23][emoji23][emoji17]
SI ume toka kulilia vocha Jana😂🤣😂mimi natumia unlimited internet ndo maana nakesha jf😂
Mimi hayanitesi, yamenifit mbona[emoji23]
Kuupeleka wapi [emoji38][emoji38][emoji38]
🤣🤣🤣🤣 shem unanitafutia ugomvi wa maweShem kwa hii comment unanidai vocha ya buku 10 umenichekesha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shem unanitafutia ugomvi wa mawe
Unachochea vitaKwann [emoji23][emoji23][emoji23]