Hapa sikuhizi kuna hekaheka miambiliiii kidogoo Sumbai mi mwenyewe kila leo wengine naona wapyaa tyuuuu . Ini itakua Alibadili username banaa haonekani kabisa humu!
Wala sijaona hiyo picha naona sifa tu. Aweke nitoe marks, uzuri nina jicho kali sana hasa linapokuja suala la kujua pisi kali na pisi mbovu. Alafu kuwa pisi mbovu wala sio dhambi
NB: anivumilie kwa maoni nitayotoa, napendelea kuwa muwazi zaidi
Wala sijaona hiyo picha naona sifa tu. Aweke nitoe marks, uzuri nina jicho kali sana hasa linapokuja suala la kujua pisi kali na pisi mbovu. Alafu kuwa pisi mbovu wala sio dhambi
NB: anivumilie kwa maoni nitayotoa, napendelea kuwa muwazi zaidi