Selfika na JF: Snap it. Show it

Shem umeanza mambo yako

Shem tulia kumbe unatuchit?? Nasikia kuna viumbe vya kutisha umevipeleka Tanga vikachezee pesa zako
nimeumia kwakeli, viuno vyote vile mdogo angu anavyokupa bado huridhiki???

Nasemaje hao nyau nisiwajue, nanunua kesi
 
Watanzania wengi wana gari nyeusi, hiyo hapana lete lingine tuamini
Anayo gari nyeusi kubwa sitaki nimseme sana kwa details maana utashangaa sana. Ila ujue aliwapelekaa shekilango kuingia gari before mechi . Jua hilo kadada keupe kembamba . Sasa ukisema kiundani ni mbaya nitaonwa mbeya zaidi ningekuwa nimekuja pm kukuambia kiundani
 
Shem mimi niko KYAKA KOMBO huku na Tanga wapi na wapi sasa?🤣🤣🤣
Huo ni uzishi uliopitiliza achana nao
 

Umenyweshwa chai tena imepoa mwali wangu

Hizo details unazotoa zote za uongo, Shem hayupo Dar achilia hiyo shekilango


Hao wamekulisha ndaza, waambie wakupe umbea wa kweli!! Ungeniambia wamehongwa vocha za jero jero mwali wangu nisingekataa hata kidogooooo!!! Kwa hili NIMEKATAA
 
Achana na binti maua bana atakua anamaanisha mtu mwingine nadhani atakua mshamba_hachekwi ndiye anayemzungumzia hapa

Maua wamemjaza mabomu yasiyo na moto afu yeye kajilipiua kwa baruti za watoto
mlio unaishia hapo hapo

Kwa hili mmbea mwenzangu kachemka, wamemponza aonekane hana content ya kuaminika
 
Mimi niko huku leo shem
Achana na huo uzishi kabisa

Maua umeona shem yuko na cocastic katerelo huko wanasuguana vikojoleo


Kantri babe nisamehe leo nimeshindwa ule mtihani tuangalie kesho
 
uduguuu unatishwaa na michepozzz? Mama mijengo mbna sio shida zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…