Anayo gari nyeusi kubwa sitaki nimseme sana kwa details maana utashangaa sana. Ila ujue aliwapelekaa shekilango kuingia gari before mechi . Jua hilo kadada keupe kembamba . Sasa ukisema kiundani ni mbaya nitaonwa mbeya zaidi ningekuwa nimekuja pm kukuambia kiundani
Anayo gari nyeusi kubwa sitaki nimseme sana kwa details maana utashangaa sana. Ila ujue aliwapelekaa shekilango kuingia gari before mechi . Jua hilo kadada keupe kembamba . Sasa ukisema kiundani ni mbaya nitaonwa mbeya zaidi ningekuwa nimekuja pm kukuambia kiundani
Hizo details unazotoa zote za uongo, Shem hayupo Dar achilia hiyo shekilango
Hao wamekulisha ndaza, waambie wakupe umbea wa kweli!! Ungeniambia wamehongwa vocha za jero jero mwali wangu nisingekataa hata kidogooooo!!! Kwa hili NIMEKATAA