Yes , nasema ukweli ila mtoto mzuri aisee kawaka huyo manager amemnunulia gari fulani majuzi tu na bado mwenzako akaitwa na mwanadada hao kwake wakapiga za kwao hadi asubuhi kaachwa kwa demu hadi alipoamka ndio manaa siku hizi mbili alikuwa hayupo alikuwa anatafuna kitumbua toto gugu hajakuambia
hapo sasa, unatolewa out kwa siri na unatambaaa?? Km kwelii wee ni mjanja weka wazi umma ujue.
Raha ya mahusiano kuwa wazi, ndugu, marafiki na wakwe wakujueeeeee.
Mnatolewa out mchana, usiku mnaachwa jamaa anarudi ndani kwa mkewee wanapanga mipango ya keshooo.
nchedangeee muje taratibuuuu, cheti cha ndoa ninachooo mie.