Selfika na JF: Snap it. Show it

Teeeeeeeeena ndo wale weusi km chungu cha dawa cha mganga
uduguuu emu kwan muulize Mjep siku ya kwanza kunionaa, alivyo chachawaaa.

Anasema mrangi wa kondoa sehemu ipii, namjibu mie mngoni wa Songea, acha aduwaeee.
 
Yaani nilichanganyikiwaa
Mtoto whiteeeee
Haachwi mtu hapa
 
Shem kapewe yotreee tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakuna kuna mpya mpya ndio ilienda tanga na dada ake ndio maana nilitaka kukupa huo umbeya saivi mtalia sana mwanamke ananyonga kiuno kama mhindi . Yaani mwaka huu mtaibiwa sio huyo tu wotree humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…