Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Yani wewe ukija najizika nikiwa hai
Una hakika sikuji? Nialike uone kama sikuji.
Una hakika sikuji? Nialike uone kama sikuji.
Ewaaah mkuu Paulo hapo umepatia.
Hivi kumbe na wewe ni ustadh eti?? Asalaam Alaykum!!
Ila hapo pa wewe kupumzika pombe nimegoma,, we nialike tu mbege mi nikualike komoni..
Aiseee!! Nahitaji kuona mtu akijizika. Alika mimi uone.Yani wewe ukija najizika nikiwa hai
Ikifika tarehe 20 nitaweka uzi wa live yanayoendelea marangu...karibu sana marangu..
Ngoja nikuje na chapati mbili...Mtori mkwe.



wakati wenzio ndio kwanza wanavimbaa na kujimwambafy
Naona na tarehe za kuenda kuhesabiwa zimeshafika,, vipi tumeshaenda kuhesabiwa??
Chapati zipo mkwe, njoo na tumbo lako tu.Ngoja nikuje na chapati mbili...
Duuuh!Bado bado...ukiwahi sana pesa zinaata katikati halafu unashindwa kuvimba tarehe husikawakati wenzio ndio kwanza wanavimbaa na kujimwambafy
unajua kwenda mikono mitupu kwa mkwe sio adabuChapati zipo mkwe, njoo na tumbo lako tu.
Baada ya mtori na chapati mbili, mimi sipati picha..unajua kwenda mikono mitupu kwa mkwe sio adabu



Usije mikono mitupu mkwe, ila sio na chapatiunajua kwenda mikono mitupu kwa mkwe sio adabu



Ikifika tarehe 20 nitaweka uzi wa live yanayoendelea marangu...karibu sana marangu..
Mkuu mimi nitakuwa hapo Mamba, kotela kama unapafahamu
Napafahamu mkuu..mambo complex nakula sana kitimoto choma hapo,tutatafutana
Hahaha...Baada ya mtori na chapati mbili, mimi sipati picha..![]()
Hahaha...mkweeeeeeUsije mikono mitupu mkwe, ila sio na chapati![]()
Sasa mimi hapo ndio home kabisa ukishuka kidogo na hicho kinjia nyumba ya kwanza utakayokutana nayo pana uwazi mkubwa ni kwa babu hapo mamba complex ni kwa ndugu yangu kabisaaa