Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mkuu we kaushia tu.. huu ujinga upo sana JF mtu badala aende pm kupiga sound yeye kama yeye.. anaenda kuanza kuchafua wengine .. kuna utoto mwingi sana..
 
Litoto limepaka sunscreen limekuwa na rangi ya Cappuccino, nadhani hata Perfume lililopulizia itakuwa ni hela ndefu maana ilibaki kwenye nguo zangu wiki nzima. Nikasema hapa kazi ipo sana,.....
Yaani una kutana na mtu ana simu Kali, pambaa Kali.
πŸ‘‰Halafu ana kuomba nauliπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ndiyo maana wanaume wengi wa Tanzania akili zetu ziko kama vichaa. Hawa wanawake wanatuloga kweli yani....
Sasa piga picha una michepuko 5 halafu yote inaenda kwa mganga kukukoleza, unadhani utakuwa mzima kichwani ?
Hapo bado mke wako wa ndoa hajakutengeneza naye, yaaani hawa wanawake hawafanyi fresh hata kidogo mazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…