Selfika na JF: Snap it. Show it

Short hair 👌👌
Usifanye nikarudi kwa yule mjomba wa elf 40.
Aninyoe aniweke rangi
Nisumbue kijiji 😂😂😂
Nenda bana, sema kunyoa lazima itabidi ujikaze tu😂
 
Cute Wife uduguuuu hebu nenda kwa page ya Nelly Kamwelu, kaangaliee alivyojilipuaaa.

Nasemajeee nasemajeeee mambo sasa wazi wazi kwann kujibanaaaa, nimependa vile vidonge alivyowapaa waja wanokooooo, nampendajeee Nelly hajawahi niangushaaaaa!!!!!

Watu weuweeeeeeeee!!!!!!
 
Uko poaaa uduguuu??

Niko poa udugu ila usiku wangu ulikuwa wa hovyo sijaona, nimeota naruka mabweni ya MU

Nimejishangaa niko juu kule samiti afu ngazi sizioni za nje, naziona za ndani na siwezi kuzifikia hapo kibasila, nikaruka nikafikia ngazi nikatoka. Ghafla nipo Kinje nika survive nikatoka, sijatulia nashangaa nipo juu kunambi nimetoka nimepelekwa Sophia, nimetoka nahema nikaibukia Nah hall nyie nikamuona Prof Wiketye ananiangalia na yale mashavu yake


Hizi Dawa leo sinywi nitakufa aiseeee naota vitu ambavyo sivijui
 
Uduguuu Una nn lakini?? Nimechekaaa had bas,
poleeee sanaa mwayaaa.
 

Wee kuna nini? Ig mbona imechachuka sana hii week kwann?? Hebu fumba macho tuombe kuna ndoa na mahusiano yanaenda kuvunjika
 
Anatoa ushauri yeye km nani? Humu tuna comment chochote, mwenye uchungu akazae


Vipi shogare naona umeamka na mood ya “Usiniguse”
Shogaangu umeamkajeee umepona????
Namkanya totoo yasije kumkuta naona mambo si mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…