Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu mtu anakuja nyenyenyeeee nakujua sijui ni single maza sijui una gono, pambafuuuu.
Leo yuko wapiπŸ˜’
Yaani hapa hapafai tena
Hizi tabia za kuchukiana na kuzingatiana sijui zimetokea wapi watu wamekua na interest ya kuongea uongo na kuzushia watu mambo ya hovyo
Dhima ya kuwepo jf inapotea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ita tu sweetheart unashangaa kesho unaskia nina mimba yako ya miezi saba na umeshaniacha tayar
Oohhoo
Haya yote chanzo ni penseli, kisayansi sphincters zikishalegea hata ubongo huwa unaacha kufanya kazi yake sawasawa. Baada ya hapo utumbo huanza kushambuliwa kwa kasi, ndio maana huwa hawatoboi miaka 40
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…