Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
AsanteHongera madam 😍
Njoo uonje😂
AsanteHongera madam 😍
Siwezi, Ime kaa ki mancity😂😃😃Asante
Njoo uonje😂
Ooh sawa sawa medium size ni bei gani??Nayoijua mimi ni aina moja nyeusi ambayo kibongobongo huwa tunatengeneza
1/2 kg 25,000Ooh sawa sawa medium size ni bei gani??
Blue rangi ya kiume🤣Siwezi, Ime kaa ki mancity😂😃😃
Yeah, sema napenda za ki gangster🤒😃Blue rangi ya kiume🤣
Ok sawa 30k please December huko. Tumalizane kule naniliiu.,,,,,,1/2 kg 25,000
750g 30,000
1 kg 35,000
Na kuendelea
Karibu sana MkuuOk sawa 30k please December huko. Tumalizane kule naniliiu.,,,,,,
Ok iwe dsm sasa. 😊Karibu sana Mkuu
Ikikaribia nitakukumbusha
Karibu mno,
Hautajuta kuniungisha😂
Ningeeka njano ungesema utopoloYeah, sema napenda za ki gangster🤒😃
Hata mkoani natumaOk iwe dsm sasa. 😊
Nilichomaanisha kusema inategemea mteja anataka ipi ni kwamba napika aina ya keki kulingana na chaguo la mtejaKwani kuna black forest za aina gani??
Basi ngoja nitafute hella unitumiee, my tinnest sibling birthday ime karibia.Ningeeka njano ungesema utopolo
Kijani CCM
Nyekundu Simba
Pink ya kike🤣
Maybe ningemix colors,japo sijataka complications maana ni ya kula tu hapa nyumbani.
Nipo DSM❌❌❌
Ntakua dsm mimi. Mikoani sitaki.
Daaah 😊😊 Umenikumbusha mbali sana.red velvet
SawaNipo DSM
Karibu sanaBasi ngoja nitafute hella unitumiee, my tinnest sibling birthday ime karibia.
👉Na nampenda Kama mwanangu, so niambie ya kawaida.
Tutaongea.Daaah 😊😊 Umenikumbusha mbali sana.
Malipo yanakuwaje?? au tutaongea siku ikiwadia. 😊
Unaipokea wapi??Waweza lipa kwa simu ama ukamuagiza mtu atakayeipokea