Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,836
Mke wa mtu mtamu sana kwasabab nakuwa anatoa kwa uwoga 🤣🤣Achà mazoea na mimi ni mke wa mtu
Mke wa mtu mtamu sana kwasabab nakuwa anatoa kwa uwoga 🤣🤣Achà mazoea na mimi ni mke wa mtu
Hahahahahanina km ya Halima Mdee, kuna siku niliibana ikabidi babe aniulize, “Vipi mamiloo unaumwa?” Nilicheka balaa
Ahahahahh mashemeji waapewe maua yao sana alikuwa ananiita ofisin kwake anawatambulisha huyu kijana wangu kuna siku nilifika ofisn nikamkuta secretary mpya akaniuliza huyu nan yako nika wambia shemeji yangu alishangaa ety anawezaje kuwa na shemeji kama weweniliona aibu



kaolewa na mzee sana??Ndio anaongezwa muda tu uko TRA astafu leo wala kesho huu mwaka wa 11 kwenye ndoa 🤣kaolewa na mzee sana??
Hahahahaha





Ila mbona mguu wa babaAcha tu ni hatareee ningechukua na sura ya baba sijui km ningepewa salamu na wanaume aiseeee!!!!!![]()
Ndio anaongezwa muda tu uko TRA astafu leo wala kesho huu mwaka wa 11 kwenye ndoa![]()




Ndio mwaka 1999 mkew ndio alikufa kama kuoa 2009 mahali mwezi wa sita ndoa mwezi wa tisa alikuwa na haraka sana baba Angu Alikuataki ila katusaidia sana yule kizee a abarikiwe sana 🤣Sema na umakonde umembeba
Ko shemejio alifiwa na mkewe??
Mbona sokomoko 🤣🤣Mguu wa maza huu![]()
Mwambie mimi ndio natoka nakuja eneo la tukioWewe kakataa kasema mppa uje wewe ndio anakuja
Haya na mcalllMwambie mimi ndio natoka nakuja eneo la tukio
Mna nioneaa aisee😃😁, we SI dada ake lakini🤒 Bantu Lady.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nicheke kwanza. Siyo tukuulize wewe huwa unakesha naye Intelligent businessman
Mbona sokomoko![]()





Nisaidie na Mimi nije Happ😁😂🤒Haya ngoja nikachukue mtindi ninywee 🤣🤣
Ndio mwaka 1999 mkew ndio alikufa kama kuoa 2009 mahali mwezi wa sita ndoa mwezi wa tisa alikuwa na haraka sana baba Angu Alikuataki ila katusaidia sana yule kizee a abarikiwe sana![]()



Ahah nishatoa ufafanuziMna nioneaa aisee😃😁, we SI dada ake lakini🤒 Bantu Lady.
👉Au tuwa ulize ma crush zake Nina Mwachiluwi na mshamba_hachekwi 😁😃
Binti Maua Unique Flower amani itawale, Mwachiluwi ni Jamaa so peace😃😃🤒Achà mazoea na mimi ni mke wa mtu
Mimi dada zangu wote wanapenda pesa ila Mungu mwwema wote wameolewa huyu wa mwisho mumewe anakoma sana ni anAppelekesha sana af ngumi mkononi huyu pindi tuppo wadog tulikuwa tunapigana haswaDuh!! Huyo dada ako alimpendea pesa![]()
Wewe si uwapendi mashemejiNisaidie na Mimi nije Happ😁😂🤒