YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Ahahhaha af mimi niataenda kukutambulisha bi mkubwa hana shida kabisa![]()
Ataenda kunitambulisha mwenyewe shem ako, wewe huchelewi kupanga mbwinu na bi mkubwa mnimwagie tindikali





Ahahhaha af mimi niataenda kukutambulisha bi mkubwa hana shida kabisa![]()





Mimi siwajui maex wake muulize mwenyewe Jack Palladino anawaficha kama utombo





Ahahahah bimkunwa akiweka dau kubwa tu mimi nakuuza kabisa si unajua mimi napesa damu damu 😂😂😂Ataenda kunitambulisha mwenyewe shem ako, wewe huchelewi kupanga mbwinu na bi mkubwa mnimwagie tindikali![]()
Haya mwaga kibunda hapa 😂😂😂😂 au nileweshe na windok tatu tuUnawajua na uzuri kunificha huwezi lazima utaniuzia umbea huo![]()
Ahahha mimi now namtaka ………….nakufanyia mpango uchomoe hii pisi
Ahahahah bimkunwa akiweka dau kubwa tu mimi nakuuza kabisa si unajua mimi napesa damu damu![]()





charrote huyu hapa ongea nae vzr akuulewe anikubalie ombi langunani huyo
Haya mwaga kibunda hapaau nileweshe na windok tatu tu


Ex zake ni waswahili wa mazense jipnge unaanzisha ugomvi na unakaaa nyumba ya viooNyie wote hamniwez hata muungane na ex’s wake wote nawavuruga mchana kweupe![]()
Ahahahhah yeye ndio akufanyieKibunda namfanyia shopping ya vinywaji shemejio anayenikaza mie![]()
🥸🥸 kazi za vijana hizo.. sie hatuna hayo mamboWee Kweli??? Kumbe ndio kazi mnayoifanya humu![]()
Habari yako ndugu yangu Mwachiluwi, nime kukumbuka Sana best angu.Ahahha mimi now namtaka ………….
nakufanyia mpango uchomoe hii pisi








😅😅 umeona mie uninyime tunda, ukampe mmbunge huna maana kabisaMimi niko Sumbawanga kwa yule mbunge aliyepewa maji machafu anywe, huko yupo na yule member aliyemfanya kalala na viatu![]()
Pambana na vikongwe wenzio 😂😂🥸🥸 kazi za vijana hizo.. sie hatuna hayo mambo
Nakuonea huruma wewe wenzio walisemaga ivyo ivyo Jack Palladino akikukuteka hapa utaanza mpangia sitak uchat na fulan then vidonda vya tumbo ivyooo kisa wivu haya

Ahahahahah kwahiyo unataka nikikufumania nikupe pesa ya pongezei?Mxxiewwww mimi na wanaume choka mbaya tofauti
Mimi nataka matajiri hata akikufumania haji kukuletea uzi wa masikitiko ndio kwanza anakupiga na vibunda![]()
hahaha
usibadilishe mada![]()



km nakuona uko banda la kuangalia tumbili😅😅😅 vikongwe wa nini mie.. nashughulika na chini ya miaka 25.. vitu bado piruuuuuPambana na vikongwe wenzio 😂😂
Hapana boss wewe huba baya ukifa uozi wewe kabisa 😂Dogo naona mpango wako sio mzuri![]()