Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,836
Usije ukakimbia lakinNgoja aje hapa aseme mwenyewe kama kweli anakupenda [mention]Cute Wife [/mention]
Usije ukakimbia lakinNgoja aje hapa aseme mwenyewe kama kweli anakupenda [mention]Cute Wife [/mention]
Unamdanga uku moyo una mzomea Jack PalladinoAchana naye kitoto iko, wewe ndio umejaa kwenye moyo wangu![]()



Ahahhahaha sawa mimi nakaa mbali kwenye jambo la mtu mtaacha tu akikuliza usije nishtakia lia uko uko 😂😂😂Chineeekeeeee wewe hunishtui kabisaaa
Hapa napagawa na Jack tu!!! Hapa nimemtaja mapaja yasha shake
Huyo anajua nini mwanamke anataka kuanzia matunzo mpk kitandani
Nikikuona wewe nachanganyikiwa kabisa![]()




Ngoja aje hapa aseme mwenyewe kama kweli anakupenda [mention]Cute Wife [/mention]



Ahahhahaha sawa mimi nakaa mbali kwenye jambo la mtu mtaacha tu akikuliza usije nishtakia lia uko uko![]()




Kigoma mwisho wa leli sioAkimbie aende wapi? Mimi kwake nimefika![]()
Hamia kwake kwabisa sasa 😂😂😂Simdangi nampenda yeye na familia yake![]()
Nakuonea huruma wewe wenzio walisemaga ivyo ivyo Jack Palladino akikukuteka hapa utaanza mpangia sitak uchat na fulan then vidonda vya tumbo ivyooo kisa wivu hayaMaster shivo nilizwe na mapenzi?? Hapa halii mtu![]()
Jack Palladino njoo mchukue mchumba wako uku anatusumbua bhna 😂Eee ndiwoooo![]()
Hamia kwake kwabisa sasa![]()





Nakuonea huruma wewe wenzio walisemaga ivyo ivyo Jack Palladino akikukuteka hapa utaanza mpangia sitak uchat na fulan then vidonda vya tumbo ivyooo kisa wivu haya





Ahahhaha af mimi niataenda kukutambulisha bi mkubwa hana shida kabisa 😂Sitaki bi mkubwa ajinyonge uzeeni maana atachemka battle zangu
Dada ako nina hekaheka haswaaa!! Yeye awe anakuja kwangu, bi mkubwa tutakutana kwenye matukio ya kifamilia![]()
hahaha
mke wa mtu huyo unapigwa changa la macho![]()



wachawi mnashtuana sasa?? Leo hujaenda nanenane kuangalia simba na nyani mdogo angu???Mimi siwajui maex wake muulize mwenyewe Jack Palladino anawaficha kama utomboMimi hata simfatilii kachat na nani? Kazi yangu afurahie uzee wake, si unajua mtu akizeeka anarudi utoto, mimi sina wivu wa kishamba na ulcers sipatiii ng’o
Kabla sijasahau naomba huo umbeya wa maex wake wenza![]()
Utamuua kaka angu kwa pressure wewephahaha
mke wa mtu huyo unapigwa changa la macho😅