Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Chineeekeeeee wewe hunishtui kabisaaa

Hapa napagawa na Jack tu!!! Hapa nimemtaja mapaja yasha shake

Huyo anajua nini mwanamke anataka kuanzia matunzo mpk kitandani
Ahahhahaha sawa mimi nakaa mbali kwenye jambo la mtu mtaacha tu akikuliza usije nishtakia lia uko uko 😂😂😂
 
Nakuonea huruma wewe wenzio walisemaga ivyo ivyo Jack Palladino akikukuteka hapa utaanza mpangia sitak uchat na fulan then vidonda vya tumbo ivyooo kisa wivu haya

Mimi hata simfatilii kachat na nani? Kazi yangu afurahie uzee wake, si unajua mtu akizeeka anarudi utoto, mimi sina wivu wa kishamba na ulcers sipatiii ng’o

Kabla sijasahau naomba huo umbeya wa maex wake wenza
 
Sitaki bi mkubwa ajinyonge uzeeni maana atachemka battle zangu

Dada ako nina hekaheka haswaaa!! Yeye awe anakuja kwangu, bi mkubwa tutakutana kwenye matukio ya kifamilia
Ahahhaha af mimi niataenda kukutambulisha bi mkubwa hana shida kabisa 😂
 
Mimi hata simfatilii kachat na nani? Kazi yangu afurahie uzee wake, si unajua mtu akizeeka anarudi utoto, mimi sina wivu wa kishamba na ulcers sipatiii ng’o

Kabla sijasahau naomba huo umbeya wa maex wake wenza
Mimi siwajui maex wake muulize mwenyewe Jack Palladino anawaficha kama utombo
 
Back
Top Bottom