Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Kale katoto??Simkumbuki😁😂
Kale katoto??Simkumbuki😁😂
Sawa mkuuMjep ili game la kike futa kabisa
Huyu atakua mawardat tuuMdau wetu SELFIKA.. Picha hii kwa ridhaa yakeView attachment 2709701
Sent using Jamii Forums mobile app
🙏🙏Upendo wa Mungu ni wa kweli.. Twendeni kuabudu sisi tulioaminiView attachment 2709725
Sent using Jamii Forums mobile app
WamefananaHuyu atakua mawardat tuu
Sawa mkuu
Nipe ya kiume boss wangu
Uumeona haya ndio ya kucheza wewe sio cundy crushSawa mkuu
Nipe ya kiume boss wangu
NakaziaUumeona haya ndio ya kucheza wewe sio cundy crush
Asante chiefUumeona haya ndio ya kucheza wewe sio cundy crush
Wamefanana
Fanya ivyoAsante chief
Naanza leo
Sawa rafiki usisahau kunipa mrejeshoNgoja ni jaribu hii list uliyoniwekea hapa moja baada ya nyingine
Sijawahi kuzijaribu pia
😆😆😆😆😆😆😆😆😆nmecheka sana khaMikono ya mkandaji hapana kwa kweli😂😂😂😂 hao wenye mikono ya hivyo ndio wanasugua kiharage km anataka kuwasha moto, afu wabishi hawapendi kuambiwa ukweli
Hapa ongezea na Zuma 😇Daah yani hiyo game sijawahi kuipenda sijui kwanini, baadhi ya game (za kwenye simu) nilizozikubali ni Temple Run, Diamond Rush, Word Link, Sniper 3D, za Magari na zile za Simulation, ila hizo nyingine sijui Candy Crush na wenzie kina Subway Surfer zimenipitiaga kushoto kabisa yani
Hapa ongezea na Zuma 😇
Tucheze kwanza game mkuuAsante mrembo
Naanza na hiyo
Usisahau kuselfika
nitakusema kwa jamaaa 🤧🤧🤧
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukiselfika bila ua
Nakuhakikishia nitakufikia hata kwa kukesha🏃🏃
Asante kwa ushauri🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii bribe sikuwahi kuitarajia!!!😂😂😂
Embu nionyesha mfano nijue pakuanzia!🙃
Alafu ukitaka usi-lose progress kwenye CC inabidi ui-link na facebook acc yako ili iwe ina-save. That way hata ukibadilisha simu unaanzia pale pale ulipoishia!