Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hupendi kwa maana yamekushinda nani akutake wewe unayemtegemea shemeji Yako umekuja arusha unataka guest za elfu tatu , mie sio ligi yako kijana huniwezi kwa sabuni au lotion hujawahi niona wala kunijua wala sitakagi mie viwatu vya huku mmkekomaa kama ungo za wachawi, hamna hela mkijenga nyumba mmoja mnazima mazima , wewe nikama kakitu ambacho hujai mkononi, ila unatamba mie nakufundisha uache unafiki , halafu jingine eti unawaka unamuwakia nani, umewahi niona najikomba kwako mie hapana. Hujui kwanini ngoja utajua tu ipo siku , eti hupendi mAmbi yanayoendelea hapa kwani wewe ndio mwenye hii app acha kujishaua umetukuta na hujui tunaishije mazoea na mimi sipendagi mabaunsa kwenye shughuli zeroo ndio maana unapanda boda boda . Usinizoee na unikome kama ulivyokoma vyote ulipo kuwa mdogo mie sio ndugu yako wala shangazi yako , wala mie sio rafiki yako , pelekea hasira zako ulipochunwa vimiamia vyako ipo siku humu mtaelewa mie mtu wa namba gani siwezi date na visiki mie umetukuta cheza kwa step shuwain , unamikosi na mabalaa nani akuhesabie honey acha uchizi njoo kwenye reality hakuna ambaye atakutaka hujajipanga ujue hilo post zako zinaonyesha wewe nikilaza

Kheee
 
Doh!! Itabidi nipate somo toka kwa Kungwi Cute Wife aseeeā˜ŗļøā˜ŗļø
atakupaje somo huku hana tako hata la kubinyaaa.. yeye na mbao anayokaliwa hawana tofauti.. šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜… labda akufundishe Bantu Lady... sema shangazi una tako zuri la finger šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Back
Top Bottom