Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,469
- 96,916
Mi hata tairi ya kuchora SinaππYeah huvuti ni unakunywa vile vitu laini wine , wine nyama laini laini nakile kigari chako cha ukoo unarembuaga na ile hair cut yako ila demu alisepa
π π π buza kwa mparange au mawazo yangu machafu... niitie Depal wangu kwanzaaaNa nina kiuuuu jombaaπ
Tusomane badae nikitoka Buza
Twende golden fork kamanda.Hapa hata sielewi.. naona picha pichaa tu.. acha nikatulie mahala nipate maji
Na umejaaliwa nacho π!Umbea kipajiππ€£π
nitakuwa mlimani city dk kama 5 zijazoTwende golden fork kamanda.
ππ€£ππ€£Atoe aache janja janja za nyani
Twende golden fork ya mikocheni ndo pazurinitakuwa mlimani city dk kama 5 zijazo
ποΈποΈπ―π―. Exactlykumdhalilisha mwanamke kwa namna yoyote ile.. na hatutakuwi kuwanyima furaha
we ajuza una maneno machafu π π πInakuuma bi shosti, hupati bwana wa maana
Na hilo umbo la jiti, utahangaika sanaaaa
nimemiss kusikiliza taarabu
Ok,nitakuja kuwa join
Japo sijui kusoma, ila Hauwezi kula mayai vinza na supu ya maganda ya mayaiππNa umejaaliwa nacho π!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πΊπΊπΊπΊ!ποΈποΈπ―π―. Exactly
Mi mtu amchokoze mwanamke nimpendaye
oyaaaaa oyaaaa oyaaaa
Patachimbika nguo kuchanika yaani itakuwa ni vuta nkuvute ya sayari nyingine.
Yaani itakuwa balaaaa kubwa.
Inaumiza sana moyo kuona umpendaye ananyanyaswa weeeeeh hapo hapana aseee no.
Nita attack vibaya sana ππππ
Juzi ulivyoachwa ile pub shida ipo wapi??maana hakuwa mqute sana ila kwa zigo limekaa ulikosea nini au mshiko ulikuwa wakuunga best??
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ AiseeeInakuuma bi shosti, hupati bwana wa maana
Na hilo umbo la jiti, utahangaika sanaaaa
nimemiss kusikiliza taarabu
ποΈποΈπ―π―. Exactly
Mi mtu amchokoze mwanamke nimpendaye
oyaaaaa oyaaaa oyaaaa
Patachimbika nguo kuchanika yaani itakuwa ni vuta nkuvute ya sayari nyingine.
Yaani itakuwa balaaaa kubwa.
Inaumiza sana moyo kuona umpendaye ananyanyaswa weeeeeh hapo hapana aseee no.
Nita attack vibaya sana ππππ
Usiwire mankaa deaba itakuwenyo ni ngwesha tu. Una uki eeh? π π πNa nina kiuuuu jombaaπ
Tusomane badae nikitoka Buza
Ko una tangaza Vita na nani mlipuzi Penseli 4 πππ€£ποΈποΈπ―π―. Exactly
Mi mtu amchokoze mwanamke nimpendaye
oyaaaaa oyaaaa oyaaaa
Patachimbika nguo kuchanika yaani itakuwa ni vuta nkuvute ya sayari nyingine.
Yaani itakuwa balaaaa kubwa.
Inaumiza sana moyo kuona umpendaye ananyanyaswa weeeeeh hapo hapana aseee no.
Nita attack vibaya sana ππππ
Unayoo sema kapasso nawe umo iwa taarifa yako kama unanyapia humu kademu au njee kademu fulani taarifa nilizozipokea ni hizi yupo na mjeda na anacheo na amejazia tutakukuta siku moja upo juu ya mti wa ubuyu kwa sadala shauri yakoMi hata tairi ya kuchora Sinaππ