Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,443
Ko una tangaza Vita na nani mlipuzi Penseli 4 πππ€£ποΈποΈπ―π―. Exactly
Mi mtu amchokoze mwanamke nimpendaye
oyaaaaa oyaaaa oyaaaa
Patachimbika nguo kuchanika yaani itakuwa ni vuta nkuvute ya sayari nyingine.
Yaani itakuwa balaaaa kubwa.
Inaumiza sana moyo kuona umpendaye ananyanyaswa weeeeeh hapo hapana aseee no.
Nita attack vibaya sana ππππ
Unayoo sema kapasso nawe umo iwa taarifa yako kama unanyapia humu kademu au njee kademu fulani taarifa nilizozipokea ni hizi yupo na mjeda na anacheo na amejazia tutakukuta siku moja upo juu ya mti wa ubuyu kwa sadala shauri yakoMi hata tairi ya kuchora Sinaππ
Icho ni kibasi eeh, π€£π€£π€£Jidanganye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi niwe single?? Mabwana wote waliojaa humu?? Kuwa single nipende mwenyewe
Kwanza nipo na Jack humu
π π π π ... kwa mpalangeee eeeh...
Umbea kipaji[emoji23][emoji1787][emoji16]
Ewe Binti Maua nime kukosea nini Lenie π€£ππ.Unayoo sema kapasso nawe umo iwa taarifa yako kama unanyapia humu kademu au njee kademu fulani taarifa nilizozipokea ni hizi yupo na mjeda na anacheo na amejazia tutakukuta siku moja upo juu ya mti wa ubuyu kwa sadala shauri yako
Yeah huvuti ni unakunywa vile vitu laini wine , wine nyama laini laini nakile kigari chako cha ukoo unarembuaga na ile hair cut yako ila demu alisepa
π€£π€£π€£π€£π€£π€£!Inakuuma bi shosti, hupati bwana wa maana [emoji108]
Na hilo umbo la jiti, utahangaika sanaaaa
[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222] nimemiss kusikiliza taarabu
Kiu ya biereeeeπ»π»Usiwire mankaa deaba itakuwenyo ni ngwesha tu. Una uki eeh? π π π
Waki taka kuku piga, we sema "I mean no malice to nobody" π€£πSio vita hata mi ni keyboard warrior tu.
Sina cha vita wala nini. Hata kurusha ngumi sijui ππ
π π π asije haribika bureee kama maajuza wengineMtoto anahitaji matunzo yule, pambana tafuta helaaa
Hakuna wewe chibest cha watu tena ila lile zigo nasikia linaliwa na lile lijamaa la tra unalijua so becaful mtot anapimwa na vipimo vizitrooEwe Binti Maua nime kukosea nini Lenie π€£ππ.
πMi jobless tu π€£π
Intel si ni mpambe huyoo anachukulia siriaz anatamani iwe kweli mfyuuu zake π€ !Sio vita hata mi ni keyboard warrior tu.
Sina cha vita wala nini. Hata kurusha ngumi sijui ππ
Ipo siku nitakupa umbeya wangu kwa sasa na hangaika kusonga makande ya nazi hapa tule na huyu mutuHilo ndio muhimu, selfika basi shogaangu uwaonyeshe wewe sio wa mchezo mchezo wasikuchukulie poa [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]