Selfika na JF: Snap it. Show it

kumdhalilisha mwanamke kwa namna yoyote ile.. na hatutakuwi kuwanyima furaha
πŸ–οΈπŸ–οΈπŸ’―πŸ’―. Exactly

Mi mtu amchokoze mwanamke nimpendaye

oyaaaaa oyaaaa oyaaaa

Patachimbika nguo kuchanika yaani itakuwa ni vuta nkuvute ya sayari nyingine.

Yaani itakuwa balaaaa kubwa.

Inaumiza sana moyo kuona umpendaye ananyanyaswa weeeeeh hapo hapana aseee no.

Nita attack vibaya sana 😊😊😊😊
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•Ί!
 

Unaweza tete au kumtetea ila pia ujue kiini .. ni kama ukute watoto wawili wanagombana.. ukiwa mzazi mwenye hekima.. utaamua kwa upendo na kuunganisha.. sio kuchochea wagombane..
 
Ko una tangaza Vita na nani mlipuzi Penseli 4 πŸ˜‚πŸ˜πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…