Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,181
Nililewa mapema nikapoteza network, nisamehe bureHuku toa code, nilipotoka wavuvi nikaenda boardroom
Leo nitakua kitambaa cheupe na National Anthem
Nililewa mapema nikapoteza network, nisamehe bureHuku toa code, nilipotoka wavuvi nikaenda boardroom
😅😅😅😅 labda mtoto pisi kali ataona hurumaa.. maana nae ana noyo wa nyamaa huenda akamuonea hurumaNa soon tuta mzika x wake😁😂🤣, Unique Flower on the beat🤣🤒
kama kauwaaa kama dawaaa 🙂🙂🙂
Unique Flower uko wapi shost anguOya Lenie Maua saa sita hajambo😂🤣🤒
Nusra aue mtu😂🤣😁Unique Flower uko wapi shost angu
Wafe tu 😂😂, maana Nina Mwaka sijala nyama ya msibani 😂😁😅😅😅😅 labda mtoto pisi kali ataona hurumaa.. maana nae ana noyo wa nyamaa huenda akamuonea huruma
We mkiachana, ita kuwa sisu part 2😂😁Wasikutag tag
Dah ko ngapi ngapi🤣😂😁Mnasomaga kila comments aisee
Muda mnao 😆😆
sitaki ma notification yao 😅😅Wasikutag tag
hatuachanagiWe mkiachana, ita kuwa sisu part 2😂😁
kikubwa feedbackWakiachana au akiachwa?🤣
Tena huyo ataachwa humu humu selfika tukishuhudia
tatizo mmbishi toka mchana ungekuwa umekuja nikupige power.. ungekuwa mzima kabisa
Nyie jamani😂ex wake kaamua kuwa mbogo.. 😅😅
Huko alipo atunzwe na Mungu
ulisema leo .. nasubiri hapa 🙂🙂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Weekend leo tunaomba selfies za kutosha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]