YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Hello auntiee yangu cheupe dawa 👋👋👋👋👋.Kadogo kangu mie![]()
Mzima weyeee
Hello auntiee yangu cheupe dawa 👋👋👋👋👋.Kadogo kangu mie![]()
🤣🤣🤣Huo msosi uko wapi??
Huwa naonaga vibe lenuuu yani hamboi wala kupoaaa![]()




Nilijua tu, hapa hamna mpishi😂😁.
🤣🤣🤣 wewe ungejuaNilijua tu, hapa hamna mpishi😂😁.
👉Bingwa wa mi fast food🤒
Kuna enye ametupia Kwani mnjomba??? lol nimepitwa na nilikua nashangaa hapahapa lol!!
Nitawahurumia nikiwaona kaburini ndipo roho yangu itakapo tulia kwatu 😅😅😅😅Huyo hayumo, namaanisha ulio weza kuwa tuliza😂😁🤣.
👉Dah Siri sio Siri kijana😂, wahurumie😁
Hello auntiee yangu cheupe dawa.
Mzima weyeee



Jana kani diss na Mimi bila kosaa😂🤣, Nika mtuliza kistaarabu😁😂 Penseli 4Nitawahurumia nikiwaona kaburini ndipo roho yangu itakapo tulia kwatu 😅😅😅😅
Ndo kwanza asubuhi..
Sindano kwenye kidonda kibichiiiiiii😂😂🤠🤠!!Wizo ananipa burudani sana hana kona kona anapigaga kwenye mshono![]()
TNT Gongolamboto hapaWapi sasa maeneo tushee kamnyweso![]()
Na unawatetemesha na kuwavuruga kweli kweli.Mzima mie mwenye karangi kangu pambe ka kutetemesha shemejizo![]()
An enemy of my enemy isn't my friend, he is another person who might knife me. in my sleep .YOUR ENEMIES ARE MY ENEMIES
YOUR FRIENDS ARE MY FRIENDS 😶😶😶😶
Santo sana Ankoli akeee sema chanzo cha uadui kishajulikanaa lol tufokasi na ma friends tyuuu anko wanguuu 😍!!YOUR ENEMIES ARE MY ENEMIES
YOUR FRIENDS ARE MY FRIENDS 😶😶😶😶
Ki Weichai 😁😁😁Kumbe humu ndani watu wapo eeh. Naona mtoto una Ki Weichai flani hivi amazing😛
Eendiwoooooooo ndiwooo uduguuu!!! Mtretreemesheee mtretrezeeeeeeee🤠🤠🕺Mzima mie mwenye karangi kangu pambe ka kutetemesha shemejizo![]()
Alafu nimekumbuka we jamaa unanichekeshaga sana na slogan yako ya "I MEAN NO MALICE TO NOBODY" 🤣🤣🤣🤣🤣An enemy of my enemy isn't my friend, he is another person who might knife me. in my sleep .