YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
mbona kafa toka kitambo
we kilete kipapaaa hicho mie nime dindaa hapa kama pundaa
Mxxiewwww




mbona kafa toka kitambo
we kilete kipapaaa hicho mie nime dindaa hapa kama pundaa




Utakua unaselfika ma lokesiooo ya huko tyuuu uduguuu!!



Huwa ananikosha sana ukitaka file la yeyote humu wee mfate tyuuu anakupa bila editing wala neneee!! 😂!!Maua hana mbambamba lazima atubless tuone toto lilivyo zuri, mfungua code wetu![]()
Mxxiewww!! unaniboa venye unachora wenzio wee hutupii hata 😏😏😏!For real bhana🤗
😅😅 vyakula viwili.. haya sasa Intelligent businessman uwahi ukachague msosi unaotaka anza naoSijaanza kula bado
Huwa ananikosha sana ukitaka file la yeyote humu wee mfate tyuuu anakupa bila editing wala neneee!!!!



mwenyewe ananikosha!!! Sasa tukutane maua, coca na bichwa komwe humu ndani patakua hapatoshi aiseeeeeDuuuh imenibidi ni commentView attachment 2709266Pacha National Anthem, umemuona dada yetu mkubwa?
Asante sanaDuuuh imenibidi ni comment
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni we ni mzuri aseee. Kuliko dadaako
😀😀😀😀❤️
View attachment 2709266Pacha National Anthem, umemuona dada yetu mkubwa?





KanikimbiaKo wifi umeona kaka kimejaa unaamua kumkomoa kwa selfie kali![]()
Oyaaa acha pigo za kiwaki😁😁🤣😂Ko wifi umeona kaka kimejaa unaamua kumkomoa kwa selfie kali![]()
Toka lini🤔🤔,Kanikimbia


wengine wote hujawaona mpk mimi??