Tupo wastaarabu wapo marimbukeni uwezi kuta mwanaume kamili anaongelea mambo ya pm jukwaani au anasamba screenshot uko pm huyo ni ,shamba tu labda ni domo zege Kwahiyo kajitafuta kajipata joined 2008-2016 wengi wao mature sna
Tulikubaliana sana tu tuwe marafiki sasa nikasikia anapigana na mama yake anamiaka 20 eh utapigaje hatua labda yakumuita babe na huku 20 wewe una 30 au 32 si majanga bado kampa mimba mtu aisee lazima umkimbie
sio kweli, mie mbona sijawai tomber mtu humu, shida humu ni fununu nyingi kuliko ukweli.. watu wanazushiana tu.. mfano Depal wanamzushia alafu bwana wake nipo hapa.. haya mwingine wanamzushia Mwachiluwi kakaangwaaa... so kuna kiwanda cha umbea
Tulikubaliana sana tu tuwe marafiki sasa nikasikia anapigana na mama yake anamiaka 20 eh utapigaje hatua labda yakumuita babe na huku 20 wewe una 30 au 32 si majanga bado kampa mimba mtu aisee lazima umkimbie
Tulikubaliana sana tu tuwe marafiki sasa nikasikia anapigana na mama yake anamiaka 20 eh utapigaje hatua labda yakumuita babe na huku 20 wewe una 30 au 32 si majanga bado kampa mimba mtu aisee lazima umkimbie
sio kweli, mie mbona sijawai tomber mtu humu, shida humu ni fununu nyingi kuliko ukweli.. watu wanazushiana tu.. mfano Depal wanamzushia alafu bwana wake nipo hapa.. haya mwingine wanamzushia Mwachiluwi kakaangwaaa... so kuna kiwanda cha umbea
Sio kujilahisisha ujue kuna muda watu awajakutana na mihogo na hivi kuna uwaba wa mihogo mizuri ilio komaa kwahiyo mtu ukijinadi vzr hapa mdada kakueleewa anakupa kwa upendo shida inakuja kwa mwanaume a anataka aonekane ila uchaguzi ni wenu kuna watu wanakulana af usikii ata kelele ya feni hapa ila ukitaka kuliwa na limbukeni wa k lazima kelele tusikie