Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,773
- 40,444
basi hunipendi 😥Kaa hukohuko nimetoa ruhusa kiroho safi
basi hunipendi 😥Kaa hukohuko nimetoa ruhusa kiroho safi
Eeehhhhila wewe mzee mshanar nakukbali sana yaani
yako nishaweka plofile.
Thubutuuuuu hahahahahahhahahahaha nguvu ya kutuma naipata wapi mie..... Kila nikinyanya kidole kugusa sehemu ya kuattach picha hakiendiNa wewe yako imegoma nini ?
Wewe mbona hutumi tukuone.
ImposiboTuma yako basi nione ili niondoke moja kwa moja.
Hahahahahahahah asanteSauti inatosha x mwenza
Imposibo
Mpe kazi aliyeko karibu yako akusaidie,usijipe tabu bibie.Thubutuuuuu hahahahahahhahahahaha nguvu ya kutuma naipata wapi mie..... Kila nikinyanya kidole kugusa sehemu ya kuattach picha hakiendi
kweli nikuonyeshee?Eeehhhh
Oooh hebu ngoja tujaribuHalafu mimi na wewe inabidi tuunde kamati kabisa naona kama tunaweza kufanya kitu cha msingi sana.
Akuuuu nendabasi hunipendi![]()
Hakuna kujaribu,ni kufanya kweli.Oooh hebu ngoja tujaribu
😂😂 nilimaanisha 💅Hahahaa'
wait a minute girlie.!!
Naomba kidogo nikuelewe please.!!