YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
huyu kijana awe karibu na mtu aise... asije fanya mafyongo 😅😅Kuachwa kuachwa
Kuachwa ni shughuli pevu
Mbaya zaidi kwa yule uliye mpenda
Wewe una geuka mwana mashairi
Pluss presha na kuponda
Yeye Yuko bize, Wana mgonga😁😂🤣
Cc mshamba_hachekwi, Cute Wife, Penseli 4, Ms eyes, National Anthem, Unique Flower 🤗😁
nakuambua upo wapi tukake mahala.. hujiamini sijui shida niniNiombee kesho ili niwe poa baba Paroko
hahahaNi $ ngapi
Pande zipihahaha
Umezoea kuongopewa kila kitu uongohahaha
CHAI
makongo juuPande zipi
tatizo mmbishi toka mchana ungekuwa umekuja nikupige power.. ungekuwa mzima kabisaNiombee kesho ili niwe poa baba Paroko
mzazi anasemaje
anasema 'shindwa pepo!!'mzazi anasemaje
unakula shisha tuanasema 'shindwa pepo!!'
hapa ni kwa jamaa flani tu tuko tuna hang😅unakula shisha tu
pande ipi hiyo
Cute Wife yupo ?hapa ni kwa jamaa flani tu tuko tuna hang😅
vipi lakini vibinti vinasemaje😅Cute Wife yupo ?
Mie mzima, Depal dimpoz mtoto mzuri.Nipo, mzima mie... sijui kwa upande wako.