Hapana bado naendelea kulima, unajua kilimo cha Tanzania hakitabiriki ndiyo maana najaribu kulima mazao tofauti ili ikitokea unaanguka zao moja basi lingine linakubeba.
Hapana bado naendelea kulima, unajua kilimo cha Tanzania hakitabiriki ndiyo maana najaribu kulima mazao tofauti ili ikitokea unaanguka zao moja basi lingine linakubeba.