Selfika na JF: Snap it. Show it

Si ulisema ni umwagiliaji ehh??
Kilimo cha Mpunga bonde la Mbarali kinategemea Umwagiliaji.

Huku cha miwa kinategemea Mvua au kama una uwezo unaweza kutumia teknolojia ya umwagiliaji.

Wakati kile cha Korosho kule Mtwara kinategemea mvua za kawaida tu ila madawa mengi.

Kama bei ya Dollar itaendelea kupanda hivi Mwakani nitajaribu kulima Zao la Tumbaku, hawa wanalipa kwa Dollar kila mwaka
 
Ohhh kile Cha mpunga mbarali, mna mwagilia na water pump??
👉Mna fungulia scheme za maji??
 
Ohhh kile Cha mpunga mbarali, mna mwagilia na water pump??
👉Mna fungulia scheme za maji??
Kule kuna scheme za umwagiliaji

Watu wametengeneza vitalu then kuna kuwa na zamu ya kuachia maji yaingie kwenye vitali vyenu kulingana na zamu.

Ila kama una hela unaweza kuchukua eneo lolote kubwa mahari then uchimbe Kisima ufunge system ya umwagiliaji.

Ukiweza kujitegemea kwenye hili unaweza kuvuna mazao mengi wakati huu wa Kiangazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…