National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
ajuza yule bora kalala.. asishindane na vigoli kama nyie hapo.. 😅😅😅😅...🏃♀️🏃♀️🏃♀️ Leo umemchamba Cute wife
Nimechoka hao kuku aiseeajuza yule bora kalala.. asishindane na vigoli kama nyie hapo.. 😅😅😅😅...
nakuona mlimani wa dar.. siku ingine ukija niambie huwa ni chef hapo KFC ujilie bata ka kuku basi pachaa wangu. 😍😍😍
basi sankara pale samaki samaki.. 🙂🙂🙂... basi kama waja waja nitakuwa nimekuona sema bila kujia.. maana mie ndio mpishi wa hao kukuNimechoka hao kuku aisee
Sema wallah😂. Huwa nakuja sana hapo Kuku Tuesdaybasi sankara pale samaki samaki.. 🙂🙂🙂... basi kama waja waja nitakuwa nimekuona sema bila kujia.. maana mie ndio mpishi wa hao kuku
Mie ndio Chef mwenyewe .. ukija siku ingine nitakupa offer kabisaa.. offer yaki JF... unaona uki selfika usiku hakuna ujinga kama mchana.. watu wa usiku tunafata mashart yaani 🙂🙂🙂Sema wallah😂. Huwa nakuja sana hapo Kuku Tuesday
sepetember conference hiyo 😅😅😅
acha tu aisee😂 mimi kweli mshambasepetember conference hiyo 😅😅😅
vyuma hivyo kawaidaaa sanaa 😅😅😅😅😅acha tu aisee😂 mimi kweli mshamba
unaonekana umevila hatari😂vyuma hivyo kawaidaaa sanaa 😅😅😅😅😅
😅😅😅 nilichezea mwaka wa pili hadi nikaona naaga chuoo.. ila mwamba nilipasua mwambaaaa... maana nilikuwa naingia na booklet nzima imejaa majibu, nakaa kama lisaa natupa ya ticha na baki na niliyo ingia nayo, alafu naomba ya nyongezaa... najazaa vizuriiii... kituuuu... usijaribuu.. hii sijashauri wala sio ushauri huuunaonekana umevila hatari😂