Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,331
- 96,585
Mababe gani🤔😁🤒, wakati IAM single🤒🤒Nalala nimechoka nimekuachia popo uingie lindo
Afu wewe unawapambanisha mababe zako kikinuka unakula njoro
Mababe gani🤔😁🤒, wakati IAM single🤒🤒Nalala nimechoka nimekuachia popo uingie lindo
Afu wewe unawapambanisha mababe zako kikinuka unakula njoro
Sikumbuki aisee ila mwisho zilikuwa ngumuza mwaka gani??
Apo ndo umebarikiwa le supa mtindiz unaogopa! Ungepewa sura ya kazi ya mzee! Nawe ungekua una pita mbali na uzi eh!



Nope,Kumbe nilisahau wew kataa Ndoa😀
Mate mazito yasije kuwakaba yakawaua kimasihara 🤣🤣Sitaki mtaua wapenz wenu 😀😀😀 Wakiona Aaliyah tu wanameza mate mazito 🙌😂😂😂
🤣🤣🤣Unaseeemaaaaaaaa embu rudia tena sentensi ya mwishooo 😄
Wadada leo mmeamua si kwa picha si kwa maneno
Duuh we jamaa upogo peace sana sijui kwann.Salam kwenu wadau..
Yes,goody goody sura kama tundu la choo,pp zako zimelegea ziko kama dekio la kudekia choo,unanuka kama beberu,ukiwa unatongoza unatokwa na jasho kama mkojo wa ng'ombe,unakubamia ndio maana unaishilia kutamani,mklio yako yamesinyaa kama pp za mbuzi.For real😁😂
Nisaidie Sasa😁😂🤣😂😁, kichwa kina Uma🙉Utajiju
Ndio uchague moja acha tamaa za fisi
Naanapiga anaacha hajawahi kataliwa na lile libichwa kama kombeo la kipepe,ni mshapu sana kwa wadada na anawapataKumbe nilisahau wew kataa Ndoa😀
Cute Wife una sikia 😁🤣😂🏃🏃Nakwambia nikikazana huu mwak hauishi selfika anakufa mtu Kwa presha tutajua tunazika au tunasafirisha 😂😂😂
😂😂😂Libichwa TenaNaanapiga anaacha hajawahi kataliwa na lile libichwa kama kombeo la kipepe,ni mshapu sana kwa wadada na anawapata
Mababe gani, wakati IAM single
![]()




Eeh? Kumbe Kuna namna zinatumika eh?Siogopi vidampa sipendi pic yangu kuanza kutumika tofauti mchumba![]()
Dada maua umejuaje Intelligent businessman ana kibamia 😂Yes,goody goody sura kama tundu la choo,pp zako zimelegea ziko kama dekio la kudekia choo,unanuka kama beberu,ukiwa unatongoza unatokwa na jasho kama mkojo wa ng'ombe,unakubamia ndio maana unaishilia kutamani,mklio yako yamesinyaa kama pp za mbuzi.
Sasa huu ndio utani wa ngumi niendelee ,kifua kama bati la mchawi,ukilaliwa na honey utazani mawe yamepiga mabati,kiuno chako chembamba kama fito za kuezekea banda la ng'ombe,unakichwa kijubwa kama sifuria za mama ntilie