Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Eeh pipi za Wahenga hizoaha
ndo pipi za kipindi hicho?
Eeh pipi za Wahenga hizoaha
ndo pipi za kipindi hicho?
We wa kumuita macho Kama tunguli za mganga 😂🤣 Unique Flower 😂🤒Upoje🤣🤣🤣
Huyo ni shost yangu wa damu kabisa
namsaka Depal. popote alipo 😬😬😬😬Totoo huwezi elewa, ulikua hujazaliwa
Vipi pipi kidonge una zi Kumbuka😂😁Sanaa😋
Unique Flower njoo kuna mtu anakutafuta hukuWe wa kumuita macho Kama tunguli za mganga 😂🤣 Unique Flower 😂🤒
Sasa mkuu ndo Picha ya mb 2.5🙄🤔, haujui hii natumia vipn🤔🤒😁Angalau nimeanza kujipata sasa.
Hizi pipi nilikuwa nazipenda😌🤣. Zinaisha zenyewe ukiweka mate😂
nina moyo wake tu, sina hela mieUna sh ngapi?
Moja ita tutosha babe🤗😜,Hizi pipi nilikuwa nazipenda😌🤣. Zinaisha zenyewe ukiweka mate😂
za mwaka gani??Hizi pipi nilikuwa nazipenda😌🤣. Zinaisha zenyewe ukiweka mate😂
Unarudia matani mwone kitambi kibaya kama chasafura,umepauka kama mitishamba ya ukwaju,miguu imekomaa miembamba kama ya mbuzi halafu unamategeWe wa kumuita macho Kama tunguli za mganga 😂🤣 Unique Flower 😂🤒
mshamba_hachekwi Ata Elewa vipi, wakati ana penda makushabu😁😂🤣😁Eeh pipi za Wahenga hizo
Yeah nazikumbuka zilikua kama panadol, tamuu 😋😋Vipi pipi kidonge una zi Kumbuka😂😁
Kama kibamia ukiweka mate tu kinapotea mkononi mwako😂🤣🤣Hizi pipi nilikuwa nazipenda😌🤣. Zinaisha zenyewe ukiweka mate😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Mpe huyo amezidi kukuchokozaUnarudia matani mwone kitambi kibaya kama chasafura,umepauka kama mitishamba ya ukwaju,miguu imekomaa miembamba kama ya mbuzi halafu unamatege
mwaka gani??