Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,999
- 137,038
Mie tigo😂
Mie tigo😂
Sijui hawa walaamu wanaanza vipi kuwa na wivu tuPole sana mwaisa, mjini ndivyo kulivyo.
Ila sisi kaka zako, tukiwa na National Anthem tutakusaidia
Ujachelewa njoo mamboz 😂😂Dogo ungenistua nije chap![]()
Ujachelewa njoo mamboz![]()
Kabisa alone kama aloneUpo alone?
Kabisa alone kama alone
Alikuwa great well mda huuu mm nikamuacha na mshikaji nikaenda levantYule mrembo umemuacha wapi?
Alikuwa great well mda huuu mm nikamuacha na mshikaji nikaenda levant
Niliitwa nikamuone shemeji tu sikuwa na mpango wa kuja ukuUnamuachaje na mshikaji?unafeli sana
Penzi limetaradadi 😀hongeraNiliitwa nikamuone shemeji tu sikuwa na mpango wa kuja uku
Wew hauna wivu?Sijui hawa walaamu wanaanza vipi kuwa na wivu tu
Niliitwa nikamuone shemeji tu sikuwa na mpango wa kuja uku
Wivu kidonda ujueWew hauna wivu?
Wew hauna wivu?
Haha wivu lazima kuchangamsha penzi JamaniWivu kidonda ujue
Yani kama haumuonei wivu haumpendi bhanaAnafeli sana huyo
Haha wivu lazima kuchangamsha penzi Jamani
ngoja nijaribu kukuonea wivu wewe nione itakuwajeHaha wivu lazima kuchangamsha penzi Jamani
Hahah mimi mwenyew kiboko ninawivu pro max 😀😀😀ngoja nijaribu kukuonea wivu wewe nione itakuwaje
ohooo.. acha niendelee kukazaa.. hadi muachane.. alafu na mie nimenunua subaru.. tayari..Kuna dalili flani flani ila bado hatuja-finalize mambo!😔