Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,815
- 10,703
Nlijua tu hapo ndio where you draw the line😂😂😂nimeghairi, kutuma nauli 🫥
Kwan kutuma nauli ni kitu cha kushindwa jaman
Nlijua tu hapo ndio where you draw the line😂😂😂nimeghairi, kutuma nauli 🫥
Sio upuuziDogo Leo ndo nime ufahamu, upuuzi wako.
👉Vipi dada ako na mama ako wakivaa hivyo🤒??
ntumie mie basi nije MUST, natoka Mvuti huku chap saa 12 natuaKwan kutuma nauli ni kitu cha kushindwa jaman
Stay positive, tume ona wengi wame kuja na kwenda.Hahaa worry not
Nini kinakukondesha totoo. Hauli vizuri?utaniua bana😂 nimekonda skuizi
Jibu swali, una penda mama yako au dada yako.Sio upuuzi
Amevaa ivyo akiwa wapi?
Beach aogelee na gauni la kitenge?
Tena mwanaume kabisaNlijua tu hapo ndio where you draw the line😂😂😂
Kwan kutuma nauli ni kitu cha kushindwa jaman
sitaki bana nina kiba100😂Nini kinakukondesha totoo. Hauli vizuri?
subiri narudiMie siko Mbeya😂😂😂
Tuma nauli kaonane na mtoto mzuri wacha maneno😆
Aki nimeingiwa na huruma ghafla mdogo wangu😆😆😆😆😆
Ila dada jaman
Do you feel me🤒
Kwaza mama yangu hatumii mitando zaid ya wasp lakini kama yeye kaona vyema why nimpingeJibu swali, una penda mama yako au dada yako.
👉Avae kichupi na kuposti mtandaoni🤒
Imeisha hiyo😂Embu fanya kurudia mkuu
50/50 + ladies firstIli nikutumie nauli😂😂😂
Yan tofauti yangu mie na wew ni jinsia, wote panga pakavu😆
Mbona unajikataa mapema😂?labda kimikito, kipesa hapana😂
Kwahiyo tumuache?Huyu usimtilie maanani, atakulisha matango pori![]()
Acha hizo😂50/50 + ladies first
anza wewe mie nije,
af ukija weye, mie natuma
sina hela mimi naponea chumbani😂Mbona unajikataa mapema😂?