Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Unatafuta ceo uko au mbunge au waziri unajiweka hapo ukikaa sawa unambebea na mimba na ndio inakuwa bas iyooAsa nikishakua cerebret si natakiwa nidate na star mwenzangu jamani au inakuaje
Unatafuta ceo uko au mbunge au waziri unajiweka hapo ukikaa sawa unambebea na mimba na ndio inakuwa bas iyooAsa nikishakua cerebret si natakiwa nidate na star mwenzangu jamani au inakuaje
OyooooooooWangap wanautaka? Acha wivu kisa ww umeshindwa Lenie ukiweza kabisa mimi nitakuluwadia kwa kiba huyu kidogo nacomnection naye
Kuna dada nilimconectia na mtu akawa anaruka chopa tu kanisahau sasaiv namwangaliaga af namcheka s
You are like a friend and sister to me, ya nini nione ukipotea ???Acha wivu basi bloo
nipo mbali huku soweto😂Totoo mshamba_hachekwi uko wapi, me nipo karibu na MUST hapa
Acha mtazamo mbaya kutumika ndioa nini why paula sikia mkuu wewe kama upendi acha mzee paula anakuumiza roho kwani kazi ya sehemu za sir ni nini? Wewe mbona wewe unafanyaYou are like a friend and sister to me, ya nini nione ukipotea ???
👉Usupa star una maumivu mengi kibongo bongo, hasa kwenu watoto wa kike.
👉Fanya ishu zingine mpendwa, usije ishia kutumika na mwisho kuadhirika Kama Hawa kina Paula na mama zao 🤒.
👉Ukinielewa Elewa, ukichukia IPO siku uta Elewa Lenie
Bro sijawahi hata kutamani kuwa mshamba wa ma camera, hell no🤒Wangap wanautaka? Acha wivu kisa ww umeshindwa Lenie ukiweza kabisa mimi nitakuluwadia kwa kiba huyu kidogo nacomnection naye
Ojuelegba by Wizkid Ina ni inspire Sana.
unaloweka leo haki ya mamanipo mbali huku soweto😂
Wacha niwe superstar kwanza hayo mengine badae.You are like a friend and sister to me, ya nini nione ukipotea ???
👉Usupa star una maumivu mengi kibongo bongo, hasa kwenu watoto wa kike.
👉Fanya ishu zingine mpendwa, usije ishia kutumika na mwisho kuadhirika Kama Hawa kina Paula na mama zao 🤒.
👉Ukinielewa Elewa, ukichukia IPO siku uta Elewa Lenie
Nakusubirianipo mbali huku soweto😂
lenie ni shangazi yangu😂unaloweka leo haki ya mama
umefuatwa mpaka chuo
Duh with kind of vision🤒, tuje tupate kiongozi, baba, au hata Kaka🤔.Acha mtazamo mbaya kutumika ndioa nini why paula sikia mkuu wewe kama upendi acha mzee paula anakuumiza roho kwani kazi ya sehemu za sir ni nini? Wewe mbona wewe unafanya
fvck thatlenie ni shangazi yangu😂
auntie mi nakuogopa bana😂Nakusubiria
Una sema ukivi shindwa, una achana navyo??Wacha niwe superstar kwanza hayo mengine badae.
Naweza kuwa superstar mwema who knows?
Vikinishinda naachana navyo
bro its easier said than done😂fvck that
yaani hata nauli hujatuma
Hahaa worry notUna sema ukivi shindwa, una achana navyo??
👉Madam una jua hivyo vitu, ni Kama madawa ehhh. Angalia usije lowea