Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha wivu basi bloo
You are like a friend and sister to me, ya nini nione ukipotea ???
👉Usupa star una maumivu mengi kibongo bongo, hasa kwenu watoto wa kike.
👉Fanya ishu zingine mpendwa, usije ishia kutumika na mwisho kuadhirika Kama Hawa kina Paula na mama zao 🤒.
👉Ukinielewa Elewa, ukichukia IPO siku uta Elewa Lenie
 
🎶 🎵
Screenshot_20230729_115709_Muzio Player.jpg
 
You are like a friend and sister to me, ya nini nione ukipotea ???
👉Usupa star una maumivu mengi kibongo bongo, hasa kwenu watoto wa kike.
👉Fanya ishu zingine mpendwa, usije ishia kutumika na mwisho kuadhirika Kama Hawa kina Paula na mama zao 🤒.
👉Ukinielewa Elewa, ukichukia IPO siku uta Elewa Lenie
Acha mtazamo mbaya kutumika ndioa nini why paula sikia mkuu wewe kama upendi acha mzee paula anakuumiza roho kwani kazi ya sehemu za sir ni nini? Wewe mbona wewe unafanya
 
Wangap wanautaka? Acha wivu kisa ww umeshindwa Lenie ukiweza kabisa mimi nitakuluwadia kwa kiba huyu kidogo nacomnection naye
Bro sijawahi hata kutamani kuwa mshamba wa ma camera, hell no🤒
👉Toka Niko mdogo, I live in the world of my own.
👉Wanao ni inspire Sio wapuuzi wapuuzi, so try to understand what kind of person am I.
👉Sijaenda shule, ila library ilikuwa rafiki yangu mpendwa.
 
You are like a friend and sister to me, ya nini nione ukipotea ???
👉Usupa star una maumivu mengi kibongo bongo, hasa kwenu watoto wa kike.
👉Fanya ishu zingine mpendwa, usije ishia kutumika na mwisho kuadhirika Kama Hawa kina Paula na mama zao 🤒.
👉Ukinielewa Elewa, ukichukia IPO siku uta Elewa Lenie
Wacha niwe superstar kwanza hayo mengine badae.
Naweza kuwa superstar mwema who knows?

Vikinishinda naachana navyo
 
Acha mtazamo mbaya kutumika ndioa nini why paula sikia mkuu wewe kama upendi acha mzee paula anakuumiza roho kwani kazi ya sehemu za sir ni nini? Wewe mbona wewe unafanya
Duh with kind of vision🤒, tuje tupate kiongozi, baba, au hata Kaka🤔.
👉Acheni kudanganyana young bro,
👉Eti kazi ya sehemu za Siri ni nini??, For real bro una ongea Kama ume meza mayai vinza 🤒
👉Yaani kujiweka uchi hadharani, ndo u supa star🤔
 
Back
Top Bottom