dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,603
- 60,862
Lenie njoo Mvuti, huyu hatakibro its easier said than done😂
Lenie njoo Mvuti, huyu hatakibro its easier said than done😂
Fd q
Ww ndio mshamba ila huchekwi huko ulaya watu wanavaa na hakuna stress acheni kuwapangia watu maisha bhnaDuh with kind of vision🤒, tuje tupate kiongozi, baba, au hata Kaka🤔.
👉Acheni kudanganyana young bro,
👉Eti kazi ya sehemu za Siri ni nini??, For real bro una ongea Kama ume meza mayai vinza 🤒
👉Yaani kujiweka uchi hadharani, ndo u supa star🤔
ila wewe😂😆😆😆😆
Hii imeenda, kwishaaaaa
Unaogopa nini totoo.auntie mi nakuogopa bana😂
Mimi kama muongo nakupa hii chini ya kapeti ndani ya mwezi uhu kuna wadada wa wili wamejipanga kukutafuta kila mtu na gia yake muhimu tu walale na wewe then watoe feedback lakini mmoja kazamilia kukuroga kabisa
Watu maarufu wanakuwaga mazuzu sana na kupenda vya dezo kuna mtu alitegemea dimpoz iko siku atakuwa choko?



we kweli? Mbona unataka kunitia presha kwnn lakini?!!!Afagilii itikadi zake na sio Fd q pekee kuna yule anae piga wasanii yupo cloud siku iyo alikuwa anataka kumshushiaMhm!! Kwann Fid ampige mkwala Juma? Hebu elezea vizuri hapo baba Paroko
khaaaaNitumie nauli basi nije😂



pacha unaanza, afu baadae unasema mimi nawapambanishanimeghairi, kutuma nauli 🫥Ushabeba fursa ya mshamba_hachekwi 😆😆😆
Kwisha habari yake
utaniua bana😂 nimekonda skuiziUnaogopa nini totoo.
Nimekuletea hela kiasi za kusogeza siku ukiwa field
Dogo ana zingua🤒😂🤣pacha unaanza, afu baadae unasema mimi nawapambanisha
Ahahah shida yao hao wanakuaga kama washamba wa k kuna mmoja alimtoa dem mimba uku amemshikia mguu wa kuku madem wengi sasaiv wamepagawa wanajua kumzalia star maisha kayapatiawe kweli? Mbona unataka kunitia presha kwnn lakini?!!!
we sikuogopi😋 slimthick njoo uone😂😂😂😂wew unaogopa nini
Kama sio mawazo yako ya kizinzi tuu😆
I hope umemaliza kusikitika![]()



🤣🤣🤣 Sawakhaaaa
basi, msubiri arudi toka soweto
Dogo Leo ndo nime ufahamu, upuuzi wako.Ww ndio mshamba ila huchekwi huko ulaya watu wanavaa na hakuna stress acheni kuwapangia watu maisha bhna