Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

KJ07 you can call me crazy, but I have this vision.
👉That one day, I will achieve my billionaire vision.
👉But until then let My hustle drums, keep being beaten.
Anything is possible kukiwa na jitihada ya kweli.
lakini kwa umri wako huo kwanini usinge invest katika vijana wadogo watakao kusaidia kufikia ndoto hizo
 
Babu yangu alifika 195, halafu sisi kila ancestor Aki ondoka. Ndo tuna zidi kwenda old age zaidi.
Huenda unaweza ukafika umri huo ila usitambue kama umeufikia.
mwanadamu huwa ana thamani pale akili na mwili both ni active.
Think of unaifikia age hiyo ukiwa kitandani wewe mwenyewe kwa kipindi hicho unakuwa unatamani anytime uondoke.
goodluck ikiwa utaifikia age hiyo maana mimi kwa wakati huo i believe sitakuwa hai tena
 
Back
Top Bottom