Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,307
- 96,458
Oya Penseli 4 uyu dogo mwamshie tu🤣🤣🤣kipenseli og😆
Oya Penseli 4 uyu dogo mwamshie tu🤣🤣🤣kipenseli og😆
Kuna mwingine zaidi yangu.kipenseli og😆
Akili kumkichwa😂🤣🤣Unajaribishwa kabisa.
Ila hakikisha una hela elfu kumi si hela 🤣🤣🤣🤣
TAKE NOTE.
unadhani ntaruka milo kama wewe😆Unajaribishwa kabisa.
Ila hakikisha una hela elfu kumi si hela 🤣🤣🤣🤣
TAKE NOTE.
Mmmh usifanye hivooooMimi nimeacha si unaona nawapaga ushindi wa mezani watu wa jf
Kuna mtu alikua ananitukana km CW na videmu vyake vinampa support lkn nikawapotezea wote.
Ss hiv wamechoka sura zimewashuka, bwana wao ananikabidhi simu nasoma msg zao za piemafu nawachoraaaaa
Napenda mbavyopiga drama zenuKanishika hata natoka basi ndiomana ana jeuri![]()
Unamrusha roho baby wako eeh..!![]()

Napingaa kwa umoja wa Wana Shari🤣😂😂Kuna mwingine zaidi yangu.
Mpole kuliko wote JF. 😵😵😵😵.
Mimi ni mtakatifu kabisa.
Safi, huezi diss Wana familia💪.Aaah mwanangu sana huyo sina shida naye kabisa.
Duuh aseee. Wala hata.Nikajua mshamba![]()
Mmmh usifanye hivoooo
Napenda mbavyopiga drama zenu
Watu na mahaba yenu moto moto


kweli tunapendanaMoja ya jambo gumu kutokea ni mimi na cute wife kubreak up. Kila jaribio limeshindwa, inshort tunafanana akili. It's a perfect combo
we mbona unakazania, mimi ni mweusi balaa siko hivyo😂Nikajua mshamba![]()
Mkuu una maanisha🤔🤔, au una changamsha genge tu😂🤣Moja ya jambo gumu kutokea ni mimi na cute wife kubreak up. Kila jaribio limeshindwa, inshort tunafanana akili. It's a perfect combo
😂 😂 😂 😂 😂