Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwenzio ss hiv nimeacha, zamani nakinukisha na ukinishinda, sikubali ugomvi unaendelea mpk nikushinde [emoji23][emoji23][emoji1787]

Mimi nauza ng’ombe kwa kesi ya kuku.
Na ngombe mwenyewe ndo huyu namletaa😂🤣🤣, haya pasuaneni🤒
FB_IMG_16899785204857367.jpg
 
wewe si upo?? kuna mtu anakuzidi kwenye kudiss[emoji23]

Mimi nimeacha si unaona nawapaga ushindi wa mezani watu wa jf [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mtu alikua ananitukana km CW na videmu vyake vinampa support lkn nikawapotezea wote.

Ss hiv wamechoka sura zimewashuka, bwana wao ananikabidhi simu nasoma msg zao za piem [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu nawachoraaaaa
 
Sina majigambo ila nikigundua wewe ni mjinga lazima nikuburuze. I'm not super intelligent, lakini I'm decently intelligent. I hate stupid people, I despise them
Hata hii jf would be better off if stupid people like u didn't exist
Don't diss ma bro mshamba_hachekwi, coz mnaeza bishana without insulting each other.
 
Sina majigambo ila nikigundua wewe ni mjinga lazima nikuburuze. I'm not super intelligent, lakini I'm decently intelligent. I hate stupid people, I despise them
Hata hii jf would be better off if stupid people like u didn't exist

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119] bas yaishe babe
 
Back
Top Bottom