Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wewe si upo?? kuna mtu anakuzidi kwenye kudiss

Mimi nimeacha si unaona nawapaga ushindi wa mezani watu wa jf

Kuna mtu alikua ananitukana km CW na videmu vyake vinampa support lkn nikawapotezea wote.

Ss hiv wamechoka sura zimewashuka, bwana wao ananikabidhi simu nasoma msg zao za piem afu nawachoraaaaa
 
Sina majigambo ila nikigundua wewe ni mjinga lazima nikuburuze. I'm not super intelligent, lakini I'm decently intelligent. I hate stupid people, I despise them
Hata hii jf would be better off if stupid people like u didn't exist
Don't diss ma bro mshamba_hachekwi, coz mnaeza bishana without insulting each other.
 
Back
Top Bottom