Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,791
Mpaka mwenyewe ukisoma unaomba samahaniYaani na chai za kutosha
Mpaka mwenyewe ukisoma unaomba samahaniYaani na chai za kutosha
Na hiki kipupwe tutakimbiana stand🤣🤣🤣 naomba meeting kesho
Unabadili I'd chapMpaka mwenyewe ukisoma unaomba samahani
😅😅😅 usinifanyie ivyo bhnaNa hiki kipupwe tutakimbiana stand
Yamekukuta mzee mwenzangu🤣🤣🤣Mjep baada ya kuopoa dem wa jf akaomba meeting dem akawa wa kwaza kuja Mjep akaenda chooni akirudi ndio ana muona dem kasimama duh anashangaa ndiye huyu View attachment 2700054
Unanitupia mpira mimi tena 🤣🤣Yamekukuta mzee mwenzangu🤣🤣🤣
Polee
Sio mimi uyo mimi niko smart niape hapaUnabadili I'd chap
Uwe na usiku mwema pia kipenziUsiku mwema wapendwa ngoja nipumzishe fuvu mbu wapate mkate wao wa kila siku 😇😇😇
🤣 na miguu pia ipumzikeUsiku mwema wapendwa ngoja nipumzishe fuvu mbu wapate mkate wao wa kila siku 😇😇😇
Nilipo upo una nini na mimi ?Uwe na usiku mwema pia kipenzi
Kizuri ule na nduguyo bossNilipo upo una nini na mimi ?
😆😆😆 sio penziKizuri ule na nduguyo boss
🫣🫣 usiku mwema pia mpenziUsiku mwema wapendwa ngoja nipumzishe fuvu mbu wapate mkate wao wa kila siku![]()
Uchoyo huo😆😆😆 sio penzi
Acha niwe mchoyo tu 🤣🤣Uchoyo huo
Naomba msiniibie mke na mume nipo hai🫣🫣 usiku mwema pia mpenzi
Ewaaa na ilivyopuyanga leo wacha ipumzikee🤣 na miguu pia ipumzike
Asante sana 😙🫣🫣 usiku mwema pia mpenzi