Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 Jul 25, 2023 #354,961 Lenie said: Ningekua jirani yako, kila siku hodiπ Click to expand... Ningekua siwashi taa wala TV!ππ
Lenie said: Ningekua jirani yako, kila siku hodiπ Click to expand... Ningekua siwashi taa wala TV!ππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 25, 2023 #354,962 Dr Lizzy said: Ningekua siwashi taa wala TV!ππ Click to expand... Nazunguka mlango wa jikoni Huko najua tu nitasikia purukushani za vyombo najua uko ndani Mimi huyo "hodi jirani yangu kipenzi"π€£π€£
Dr Lizzy said: Ningekua siwashi taa wala TV!ππ Click to expand... Nazunguka mlango wa jikoni Huko najua tu nitasikia purukushani za vyombo najua uko ndani Mimi huyo "hodi jirani yangu kipenzi"π€£π€£
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 25, 2023 #354,963 Lenie said: Ningekua jirani yako, kila siku hodiπ Click to expand... Ungeendq kufanya nini?
officialbryteskylinks Senior Member Joined Jan 26, 2022 Posts 183 Reaction score 223 Jul 25, 2023 #354,964 Karibu tukuhudumie. Tunapatikana Mbezi Beach, Tanki Bovu, Jengo la White Beach Park, Dar es salaam.
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,315 Reaction score 72,082 Jul 25, 2023 #354,965 officialbryteskylinks said: View attachment 2698597 Karibu tukuhudumie. Tunapatikana Mbezi Beach, Tanki Bovu, Jengo la White Beach Park, Dar es salaam. Click to expand... web shingapi
officialbryteskylinks said: View attachment 2698597 Karibu tukuhudumie. Tunapatikana Mbezi Beach, Tanki Bovu, Jengo la White Beach Park, Dar es salaam. Click to expand... web shingapi
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 25, 2023 #354,966 Mwachiluwi said: Ungeendq kufanya nini? Click to expand... Kula misosi mizuriπ
officialbryteskylinks Senior Member Joined Jan 26, 2022 Posts 183 Reaction score 223 Jul 25, 2023 #354,967 mshamba_hachekwi said: web shingapi Click to expand... 300,000
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 25, 2023 #354,968 Lenie said: Kula misosi mizuriπ Click to expand... Utavimbiwa sasa na wangekuwa wanakufungia mlango
Lenie said: Kula misosi mizuriπ Click to expand... Utavimbiwa sasa na wangekuwa wanakufungia mlango
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 25, 2023 #354,969 Mwachiluwi said: Utavimbiwa sasa na wangekuwa wanakufungia mlango Click to expand... Nitaliaaa π
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 25, 2023 #354,970 Lenie said: Nitaliaaa π Click to expand... π€£π€£π€£ hawata kusikia
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 Jul 25, 2023 #354,971 Saint Anne niko kwenye seat yako!!π
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 Jul 25, 2023 #354,972 Lenie said: Nazunguka mlango wa jikoni Huko najua tu nitasikia purukushani za vyombo najua uko ndani Mimi huyo "hodi jirani yangu kipenzi"π€£π€£ Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hapo najidai nilikua naosha vyombo vya juzi na sina mood ya kupika! Alafu nakugeuzia kibao tukale kwako!π
Lenie said: Nazunguka mlango wa jikoni Huko najua tu nitasikia purukushani za vyombo najua uko ndani Mimi huyo "hodi jirani yangu kipenzi"π€£π€£ Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hapo najidai nilikua naosha vyombo vya juzi na sina mood ya kupika! Alafu nakugeuzia kibao tukale kwako!π
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 25, 2023 #354,973 Dr Lizzy said: π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hapo najidai nilikua naosha vyombo vya juzi na sina mood ya kupika! Alafu nakugeuzia kibao tukale kwako!π Click to expand... Angekupiga kiswahi iko acha tu
Dr Lizzy said: π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hapo najidai nilikua naosha vyombo vya juzi na sina mood ya kupika! Alafu nakugeuzia kibao tukale kwako!π Click to expand... Angekupiga kiswahi iko acha tu
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 25, 2023 #354,974 Dr Lizzy said: π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hapo najidai nilikua naosha vyombo vya juzi na sina mood ya kupika! Alafu nakugeuzia kibao tukale kwako!π Click to expand... Nitakuwekea sura ya huzuni hadi utanionea huruma mwenyeweπ€£π€£ Tena hapo nimebeba matunda au π©π« π
Dr Lizzy said: π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hapo najidai nilikua naosha vyombo vya juzi na sina mood ya kupika! Alafu nakugeuzia kibao tukale kwako!π Click to expand... Nitakuwekea sura ya huzuni hadi utanionea huruma mwenyeweπ€£π€£ Tena hapo nimebeba matunda au π©π« π
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,154 Reaction score 36,361 Jul 25, 2023 #354,975 Missy Gf said: Karibu chamani raha ya huku mechi za hapa na pale hukosi ni shwaaa Click to expand... card namba ngapi unanipa shogare? Na hizo mechi za hapa na pale ndio balaa sasa, nitaweza?!!!!!!
Missy Gf said: Karibu chamani raha ya huku mechi za hapa na pale hukosi ni shwaaa Click to expand... card namba ngapi unanipa shogare? Na hizo mechi za hapa na pale ndio balaa sasa, nitaweza?!!!!!!
Missy Gf JF-Expert Member Joined Oct 30, 2022 Posts 5,593 Reaction score 15,752 Jul 25, 2023 #354,976 Cute Wife said: card namba ngapi unanipa shogare? Na hizo mechi za hapa na pale ndio balaa sasa, nitaweza?!!!!!! Click to expand... ππππ itabidi nikutafutie training kwanza uive
Cute Wife said: card namba ngapi unanipa shogare? Na hizo mechi za hapa na pale ndio balaa sasa, nitaweza?!!!!!! Click to expand... ππππ itabidi nikutafutie training kwanza uive
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,154 Reaction score 36,361 Jul 25, 2023 #354,977 Missy Gf said: itabidi nikutafutie training kwanza uive Click to expand... Fanya hivyo basi shogare mana mambo mengine haya unaweza kuchanganya madesa
Missy Gf said: itabidi nikutafutie training kwanza uive Click to expand... Fanya hivyo basi shogare mana mambo mengine haya unaweza kuchanganya madesa
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,092 Jul 25, 2023 #354,978 π
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 Jul 25, 2023 #354,980 Mwachiluwi said: mshamba_hachekwi Mzee wa kupambania Mjep Intelligent businessman shemeji yenu Click to expand... Nani tena huyo? π
Mwachiluwi said: mshamba_hachekwi Mzee wa kupambania Mjep Intelligent businessman shemeji yenu Click to expand... Nani tena huyo? π