mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,931
usijilinganishe na majobless😅Kila nikiibgia hap jf up live uchok
usijilinganishe na majobless😅Kila nikiibgia hap jf up live uchok
Ww acha izo mambo pumzika kila mada ya jf upo live punguza utaumwa machousijilinganishe na majobless😅
sina chakufanya sasa, ue nimemaliza wiki 6 zilizopita😅 field mseleleko ndo kuna wifi kabisa na kiti cha kuzunguka😅Ww acha izo mambo pumzika kila mada ya jf upo live punguza utaumwa macho
Duh hasara kwelisina chakufanya sasa, ue nimemaliza wiki 6 zilizopita😅 field mseleleko ndo kuna wifi kabisa na kiti cha kuzunguka😅
nakaziaDuh hasara kweli
Acha kushinda hapa jf mda wotesina chakufanya sasa, ue nimemaliza wiki 6 zilizopita😅 field mseleleko ndo kuna wifi kabisa na kiti cha kuzunguka😅
mbona imekua kesi sasa😅Acha kushinda hapa jf mda wote
Punguza matumizimbona imekua kesi sasa😅
nikipata kazi ntapunguza usiwaze😅Punguza matumizi
IAM here💪Intelligent businessman mida ya wanga hii
HahahahahaWe anikome nina kitobo chenye kiharage
Yeye aseme energy ya moto wa fifi kwake zero atiii
Mbona sidaiwHabari za asubuhi chief
Vocha zako kakutunzia Mwachiluwi muombe akupe
Karibu chamani 😁😁😁😁 raha ya huku mechi za hapa na pale hukosi ni shwaaaAhsante shogare angu, now I’m single hekaheka za vioo zimepoa![]()
Sema kweli?Karibu chamani 😁😁😁😁 raha ya huku mechi za hapa na pale hukosi ni shwaaa
Shida ukichaa ulizidi😂😂, watu Wana waza huyu ni mzima au mtambo😂Ahsante shogare angu, now I’m single hekaheka za vioo zimepoa![]()
Mr tuzo point, weka challenge watu wapasuane😂😂😂Sema kweli?